Nape mbona unawadanganya wana ccm?

Nape mbona unawadanganya wana ccm?

Prosoo

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
471
Reaction score
167
Kwa hatua iliyofikia inaonesha wazi viongozi wa CCM wanawahadaa wanachama, Ndugu yangu Nape juzi alisema Lowassa hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi (10) Lakini ni Lowassa huyu huyu aliyekuwa waziri mkuu chini ya utawala wa CCM,Sasa balozi wa nyumba kumi na waziri mkuu nani mwenye majukumu mengi?
 
ngoja akose hata hilo jimbo la Mtama tuone kama nani balozi wa nyumba 3
 
Kwa hatua iliyofikia inaonesha wazi viongozi wa CCM wanawahadaa wanachama, Ndugu yangu Nape juzi alisema Lowassa hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi (10) Lakini ni Lowassa huyu huyu aliyekuwa waziri mkuu chini ya utawala wa CCM,Sasa balozi wa nyumba kumi na waziri mkuu nani mwenye majukumu mengi?

kwa kuwa alionekana hafai akapigwa chini.... yuko sawia
 
Sie wengine yamkini tukilisikia tu ! Jina @NAPE tunapata kichefuchefu !
 
osoo;13693560]Kwa hatua iliyofikia inaonesha wazi viongozi wa CCM wanawahadaa wanachama, Ndugu yangu Nape juzi alisema Lowassa hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi (10) Lakini ni Lowassa huyu huyu aliyekuwa waziri mkuu chini ya utawala wa CCM,Sasa balozi wa nyumba kumi na waziri mkuu nani mwenye majukumu mengi?[/QUOTE]

Nape akili fupi tatizo anatumia muda mwingi kujichubua kuliko kufikiri
 
Nape lazima atushawishi kwa hoja lakini sio ya Richmond!! Kwa kusema Lowassa ni fisadi Nape anaivua nguo serikali kwa kushindwa kumshughulikia. Pia atuelezee khs Ngeleja, Tibaijuka, Chenge, N.k pia atueleze sbb ya kubakia maskini kwa miaka yote. Atuambie pia mikakati yake ya kuanzisha CCJ. Akimaliza yote atuambie kwa nini Pinda na Bilal walikatwa wakati ni wasaidizi muhimu wa Rais. Pia atuambie kama kwa sasa anaona JK anafaa kuwa rais, na msimamo huo mpya kama kauanza baada ya uteuzi wake kuwa DC au wakati anakimbilia India. Na je hajaongwa cheo ili kubadili msimamo wake dhidi ya JK??
 
  • Thanks
Reactions: aye
kwa kuwa alionekana hafai akapigwa chini.... yuko sawia

Kumbe hafai why alipewa uwaziri ndani ya serikali ya mkapa haitoshi akaja kupewa uwaziri ndani ya serikali ya kikwete?
 
Back
Top Bottom