Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Nakumbuka Makonda alivamia Clouds.
Nape akaingilia kati enzi za mwenda zake.
Nape akoonyeshewa Bastola na mwenda zake akamuondoa kwenye nafasi yake.
Makonda akaendela kushika hatamu/patamu.
Wakati huo magazeti ya Kubenea yakafungiwa enzi za Mwenda zake.
Mama kaingia madarakani....
Kamteua Nape kuwa Waziri wa Wizara ile ile
Makonda hayupo tena
Kubenea kafungua kesi juu ya Makonda aliyesababisha Nape aondolewe
Nape kayafungulia magazeti likiwemo la Kubenea.
Makonda anasubiriwa mahakamani kwa kesi ya matumizi mabaya ya madaraka.
Clous watuandalie vizuri zile CCTV camera kwa ajili ya Ushahidi
Ni Mawazo yangu ila Muda ni mwalimu mzuri sana. Hebu nisaidieni kama ni Coincidence tu ama ni connected dots. Humu ma great thinka wamejaa watanidaidia.
Nape akaingilia kati enzi za mwenda zake.
Nape akoonyeshewa Bastola na mwenda zake akamuondoa kwenye nafasi yake.
Makonda akaendela kushika hatamu/patamu.
Wakati huo magazeti ya Kubenea yakafungiwa enzi za Mwenda zake.
Mama kaingia madarakani....
Kamteua Nape kuwa Waziri wa Wizara ile ile
Makonda hayupo tena
Kubenea kafungua kesi juu ya Makonda aliyesababisha Nape aondolewe
Nape kayafungulia magazeti likiwemo la Kubenea.
Makonda anasubiriwa mahakamani kwa kesi ya matumizi mabaya ya madaraka.
Clous watuandalie vizuri zile CCTV camera kwa ajili ya Ushahidi
Ni Mawazo yangu ila Muda ni mwalimu mzuri sana. Hebu nisaidieni kama ni Coincidence tu ama ni connected dots. Humu ma great thinka wamejaa watanidaidia.