Nape: Lowassa kapoteza sifa ya kugombea

Corrupt leaders=corrupt nation

Acheni ku trade votes kwa shibe za masaa

Tatizo la Africa wala si viongozi ila wananchi wenye upeo mdogo sana wa kufikiri...
 
Na tusikubali kanisa wala msikiti utuchagulie viongozi...

Maana naona sasa hivi nyumba za ibada zinaganga njaa


 
Lowasa anafaa kwasababu ana hela, wtz we wape hela tuu
 
CCM ilisha paranganyika tangu mwaka 2005 wana mtandao wameharibu nchi na siasa za nchi hii
 

Mimi si CCM na wala sina mpango wa kuwa mmoja wao, lakini kwa kauli hii Nape amenikuna.
Kuchaguliwa Lowasa au fisadi mwingine anayefahamika kwa uhalifu huo itakuwa ni sawa na kuwakabidhi wapinzani Ikulu hata kabla ya uchaguzi.
CCM isijidanyanye; watanzania wa 2015 watakuwa tofauti kabisa na wale wa 2005 na wa 2010 walioichagua CCM kwa kuhongwa kofia, bangili, vikoi, sukari, kapelo na sifa za kijinga kijinga kama .... Ooh ana sura ya mvuto, handsome kana kwamba tulikuwa tunamchagulia Binti mchumba!
Chema chajiuza na kibaya chajitembeza; ndivyo alivyo fisadi papa huyu anayejipendekeza kwa watanzania, tena kwa kutumia fedha alizowaibia na anazoendelea kuwaibia kupitia Makampuni ya Symbion; Vodacom na ujambazi mwingine.
Mhalifu huyu anautafuta urais ili kuficha maovu yake na mashoga zake.
 
Umpe mfanyabiashara ikulu...wawaulize Egypt...

Tena na tunavyopumulia machine tutakuwa nchi ya kwanza ku declare bankruptcy


 
Nape ni sawa na majivu tuuu hayana kazi ni ya kutupwa
 
asante lowasa wewe ni mpango wa mungu kuisambaratisha ccm , mungu akubariki sana na kukuzidishia, ubarikiwe mashambani, ubarikiwe nyumbani, ubarikiwe katika kapu lako la kukandia unga, ubarikiwe utokapo na uingiapo tangu sasa na hata milele, mungu akupe nguvu ya kumtumikia ili mpango wake wa kusambaratisha ccm ufanikiwe kupitia wewe, amen.
 
Acha kumpamba EL huyo ni FISADI NAMBA ONE.
Alijiuzuru kwa ajili ya ufiaadi wa RICHMOND

RICHARDWILIUM
Nape Sacha kumwandama Lowasa, haumwezi kwani anakubalika hataufanyeje. Lowassa ni mchapakazi na mwadilifu.

Mwadilifu!!!!!
Hata hivyo sijaona kiongozi mwingine zaid ya lowassa!!
Sijui kwann naona anafaa urais hata kama ni muhujumu uchumi!!!
Ana sifa ya vizuri kula na wenzio!!
Anajua kula na kipofu!!
Anang'ata na kupuliza!!
Awe tuu raisi!!!!!!!!!!
 
Du kama atakuwa Rais wetu wa awamu inayofuatia.afanye kama awamu ya ruhusa kila mtu ale kwa kujinafasi kivyake pale ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…