NAPE lazima akatwe MTAMA

NAPE lazima akatwe MTAMA

Naamini hata mkuu ameumizwa. Naamini magufuli sio chaguo lake.
 
Mkuu walikuwa amehakikishiwa kwa jua na mvua atapitishwa.Kulamba matapishi ni kawaida Mkuu atawatafuta wazee Fulani atasema wamemfuata kumuombs arejee

Lol! mkuu hilo ni kweli, sio ajabu tukasikia hivyo maana hawa watu kwa sanaa tu wana PhD.
 
Naamini hata mkuu ameumizwa. Naamini magufuli sio chaguo lake.
humjui Kikwete vizuri. ukitaka kumjua vizuri wauliza rostam, sitta na lowassa watakuambia jamaa ni nani. chezea kijana aliyezaliwa pale kariakoo weye.
kiboko ya Kikwete ni mmoja tu, nyoka wa makengeza. jamaa kamgwaya!
 
Back
Top Bottom