NAPE lazima akatwe MTAMA

NAPE lazima akatwe MTAMA

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,493
Reaction score
7,417
NAPE ameshajipashika uenyeji na ukazi wa LINDI,ili aweze kugombea Jimbo la MTAMA. ili CCM iendeleze umoja na mshikamano lazima NAPE akatwe akichukua form ya kugombea ubunge ya jimbo la MTAMA (MKOANI LINDI)
sababu za kukatwa zinafanana na za EDO
-Nape ameleta mganyiko KATIKA CHAMA,badala ya umoja na mshikamano
-Jimbo litakosa maendeleo kwa kukosa ushirikiano wa pamoja,kama lilivyokosa sasa,MTAMA iliomba kuwa wilaya na ilikua ahadi ya MEMBE lakini kutokana na Membe kutokakuwa na ushirikiano na HAWA GHASIA wameshindwa kuipa wilaya MTAMA, Leo Nanyamba imepewa hadhi ya wilaya, wakati haifikii MTAMA ki uwezo,utagundua ushirikiano ni MUHIMU
 
Membe,edo,pinda watagombea? Kama nape anataka jimbo la mtama,membe ataenda wapi?
 
Membe ajaribu ubunge mtama na kama hivi jimbo hsjalitendea haki toka 2005 kwa unazi wake wa kutska kuwa rais basi AKATWE tu maana hakuna namna nyingine
 
Wakuu salaam,Mtakumbuka ndugu Nape alijiandikisha BVR katika mkoa wa Lindi jimbo la mtama.Nape alijiandikisha Mtama kwa matumaini kuwa atakuwa mgombea ubunge huko na hii ni kwa sababu yeye pamoja na mwenyekiti wake walikuwa wameapa kufanya kila mbinu Membe awe mgombea Urais hivyo jimbo lingekuwa wazi kwa Nape.

Sasa Membe kadunda ni dhahiri atarejea Mtama kugombea,hivyo sioni uwezekano wa Nape kufunga safari kwenda Mtama kumpigia kura Membe.

Walioumia Jana ni wengi sana .
 
Membe alisema bungeni hatarudi tena ndani ya jengo la bunge, akiwa mbunge, labda arudi kivingine. Otherwise labda alambe matapishi yake.
 
Ilikuwa wagawane fito za hengo la ccm kama wangeendelea na msimo wa kumpa membe wakati Eddo ndo chaguo la watu,wakaona wa neutralise ili upepo upite,bota wakose wote
 
Membe alisema bungeni hatarudi tena ndani ya jengo la bunge, akiwa mbunge, labda arudi kivingine. Otherwise labda alambe matapishi yake.

Mkuu walikuwa amehakikishiwa kwa jua na mvua atapitishwa.Kulamba matapishi ni kawaida Mkuu atawatafuta wazee Fulani atasema wamemfuata kumuombs arejee
 
Jamaa alikula za uso jana! !! ama kweli siasa sio hesabu hakunaga jibu la uhakika.
 
Bado mambo ni mabichi ccm wanafiki wengi na wezi wengi apo lazima utakuwa ndio mwisho wao tuzidi kuomba mungu hashindwi ccm ife kifo kibaya!!
 
Nape amshukuru Mungu kuwa EL hajapita, yeye na Makonda wangetafuta pa kutokea. Sasa kwa Dr. John sijui sana, bila shaka atabakibaki kwanza.
 
Nape amshukuru Mungu kuwa EL hajapita, yeye na Makonda wangetafuta pa kutokea. Sasa kwa Dr. John sijui sana, bila shaka atabakibaki kwanza.

nani kasema magufuli atakuwa rais?
 
Jamaaa ameokota dodo chini ya mbuyu....najua ata yeye mwenyewe haamini kabisa
 
Wakuu salaam,Mtakumbuka ndugu Nape alijiandikisha BVR katika mkoa wa Lindi jimbo la mtama.Nape alijiandikisha Mtama kwa matumaini kuwa atakuwa mgombea ubunge huko na hii ni kwa sababu yeye pamoja na mwenyekiti wake walikuwa wameapa kufanya kila mbinu Membe awe mgombea Urais hivyo jimbo lingekuwa wazi kwa Nape.

Sasa Membe kadunda ni dhahiri atarejea Mtama kugombea,hivyo sioni uwezekano wa Nape kufunga safari kwenda Mtama kumpigia kura Membe.

Walioumia Jana ni wengi sana .

MAUMIVU KILA UPANDE
kote kote ebwanaeeeeee!!
 
Back
Top Bottom