Nape kushiriki kampeni za udiwani kusini

Nape kushiriki kampeni za udiwani kusini

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,535
Reaction score
31,199
Ametweet kwenye ukurasa wake kuwa anatarajia kukitetea chama chake katika kinyang'anyiro cha udiwani katika mikoa ya Kusini.
 
Karibu sana Ntandahimba nkomred Nape. CCM Chama nkubwa, twakukaribisha sana Ntwara
 
Tupo nae huku kwenye Jimbo la pm
Hana jipya yani huku ni mabendera ya chadema tu yanapepea
Jamaa walibadili tarehe ya kuanza kampeni baada ya kuona hamna watu na chedema wanasepa na kijiji kila siku nyomi naona ccm ndiyo wameamua kuanza juzi nape tunae huku nandagala kata ya nnacho nyumbani kwa pm.

Kwa taarifa fupi anaegombea udiwani Kata hii kupitia ccm alikua mgombea udiwani kupitia chadema mwaka 2015 ambae alizidiwa kura 14 na diwani wa ccm ambae alitangazwa kushinda na sasa hatunae tena duniani

Kwa hiyo mgombea udiwani huyo ambae alikua wa chadema ashanunuliwa na sasa anagombea kupitia ccm

Ila chadema wamesimamisha chuma kingine ni sheeda...!!!
 
Tupo nae huku kwenye Jimbo la pm
Hana jipya yani huku ni mabendera ya chadema tu yanapepea
Jamaa walibadili tarehe ya kuanza kampeni baada ya kuona hamna watu na chedema wanasepa na kijiji kila siku nyomi naona ccm ndiyo wameamua kuanza juzi nape tunae huku nandagala kata ya nnacho nyumbani kwa pm.

Kwa taarifa fupi anaegombea udiwani Kata hii kupitia ccm alikua mgombea udiwani kupitia chadema mwaka 2015 ambae alizidiwa kura 14 na diwani wa ccm ambae alitangazwa kushinda na sasa hatunae tena duniani

Kwa hiyo mgombea udiwani huyo ambae alikua wa chadema ashanunuliwa na sasa anagombea kupitia ccm

Ila chadema wamesimamisha chuma kingine ni sheeda...!!!
Muongo wewe..niambie Upo kata gani??
 
Hongera sana katibu mwenezi mstaafu wa chama, endelea na mapambano.
 
Ametweet kwenye ukurasa wake kuwa anatarajia kukitetea chama chake katika kinyang'anyiro cha udiwani katika mikoa ya Kusini.
Ajuza Polepoleee yuko wapii simsikii kabisaa
 
Back
Top Bottom