Nape hamjui na hajamjua jk. kikwete ni m2 wa kutumia na kuacha hana tofauti na mtu anayetuane tumia condom akimaliza haja zake anaitupia mbali na kusahau fadhila zake.kamtumia lowassa,Rostam, sasa kawatuhumu kuwa ni magamba na hawafai ndani ya chama.Mwenzako akinyolewa zako tia maji but nampe yeye anachekelea badala ya kutia maji siku sio nyingi nae ataitwa gamba.