wewe 'gamba' kwani hii thread ina tatizo gani? Acha kukurupuka. By the way inawezekana ukawa PS wa nepi, bt take care isijekua anaku... Ndo mana unakua na uchungu akitajwa!
Haya unayoyasema unahakika nayo? Au ndo wale waliosema Sumaye kamshambulia Nape na kupinga kujivua gamba kwa faida ya kuwatetea mabwana zao na sasa juzi baada ya Sumaye kuongea positive juu ya kujivua gamba ITV dk45 wanaona haya kusema yale maneno wLiyatoa wapi waliyomlisha Sumaye???? Ona aibu kutunga uongo
Mnafiki mkubwa yule, atakuwa uko face book akila matapishi yake
Hili la Nape inatosha, nawaomba vijana wenzangu turudi kwenye masuala ya msingi yanayolitesa taifa hususani suala la ajira kwa vijana na huduma za kijamii hususani vijijini.
tukio gani la kisiasa kubwa kama unavyosema ambalo sijatoa maoni/ ushauri/ msimamo wa Chama? Kwa uchache nikukumbushe tu, LILITOKA SWALA LA POSHO NIKATOA MSIMAMO WA CHAMA, SWALA LA KUFUKUZWA KAFULILA, MAFURIKO DAR NA MIKOANI, MAFUTA NK... Au mpaka nije kutoa hapa Jf? Na leo nimetoa juu ya Hamadi na kumpongeza John Mnyika kwa uteuzi wake kuwa Katibu Mwenezi wa Chadema..
First Lady wetu wa moyoni subiri wapambe waje wamjibie! Kwakuwa umeuliza wewe watakurupuka humu kama vichaa. Watakuwa wanatumiana ujumbe wote waingie JF kukushambulia!Inatia huruma mnapotumia fedha nyingi kuwanunua wapinzani,mf.mkakati mlionao kanda ya ziwa abao mmeshaaanza kuitekeleza kanda ya ziwa.hili unalisemea vipi?
Unafiki wangu ni upi? au unatukana kwasababu unatumia jina bandia? Kama kwako ufisadi ni deal, huna sababu ya kumtukana anayeona si deal bali ni dhambi hata kwa Mungu
tukio gani la kisiasa kubwa kama unavyosema ambalo sijatoa maoni/ ushauri/ msimamo wa Chama? Kwa uchache nikukumbushe tu, LILITOKA SWALA LA POSHO NIKATOA MSIMAMO WA CHAMA, SWALA LA KUFUKUZWA KAFULILA, MAFURIKO DAR NA MIKOANI, MAFUTA NK... Au mpaka nije kutoa hapa Jf? Na leo nimetoa juu ya Hamadi na kumpongeza John Mnyika kwa uteuzi wake kuwa Katibu Mwenezi wa Chadema..
Inatia huruma mnapotumia fedha nyingi kuwanunua wapinzani,mf.mkakati mlionao kanda ya ziwa abao mmeshaaanza kuitekeleza kanda ya ziwa.hili unalisemea vipi?
kijana, kumbe ukiguswa unahaha kiasi hicho? lkn endelea vyema na kazi yako watanzania wamekutambua na sina shaka wakati wako ukifika utavua gamba ullilovaa, hofu yangu lisije likawa ni gamba la kitunguu
Mkuu uvuaji wa gamba umeishia wapi au umeshaona dalili ya kuvuliwa gamba mwenyewe baada ya EL kufungukatukio gani la kisiasa kubwa kama unavyosema ambalo sijatoa maoni/ ushauri/ msimamo wa Chama? Kwa uchache nikukumbushe tu, LILITOKA SWALA LA POSHO NIKATOA MSIMAMO WA CHAMA, SWALA LA KUFUKUZWA KAFULILA, MAFURIKO DAR NA MIKOANI, MAFUTA NK... Au mpaka nije kutoa hapa Jf? Na leo nimetoa juu ya Hamadi na kumpongeza John Mnyika kwa uteuzi wake kuwa Katibu Mwenezi wa Chadema..
Naona unajibu kiutani utani tuu, baadhi ya hoja hujibu kabisa. kwahiyo ukikaa kimya tujue ni kweli?Hahahhaaaaaaaaa!! Magamba mengine ya kobe!!
Mkuu Kinyungu,
Hivi ni kweli msimamo wangu juu ya kufukuzwa Kafulila hukuuona? Hapa Narudia....SIAMINI KATIKA SIASA ZA KUFUKUZA HASA WANASIASA VIJANA KWENYE VYAMA VYA SIASA BADALA YAKE VYAMA VYA SIASA VIJENGE UTAMADUNI WA KUVUMILIA NA KUWA WALEZI WA WANASIASA VIAJANA KATIKA NJIA ZIPASAZO BADALA YA ADHABU YA KUWAFUKUZA