Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
sasa unacho shangaa ni nini? Mbona hata hapa jamvini alisha likana jina lake...
Nape Mnauye wakati akiongea na vyombo vya habari mjini Dodoma leo ambako vikao vya Chama cha CCM vikiendelea amebadilisha kuali mbiu ya awali aliyokuwa akizunguka nchi nzima kutangaza majina ya wanaotakiwa kuachia ngazi . Leo kaja na mpya kwamba vyombo vya habari vilipotosha ukweli wa maana ya kuvua magamba kwa maana ya kubadilika na wala si kuwafukuza watu. Hii imekaaje?
Na hao waandishi wamekubali kusingiziwa na huyo kiazi?