nasubiri wale waliotajwa jana kwenye gazeti la mawio, wakanushe, huyo nape tumemzoea kukurupuka.
Nani hao waliotajwa? Bahati mbaya sikulipata Mawio.
nasubiri wale waliotajwa jana kwenye gazeti la mawio, wakanushe, huyo nape tumemzoea kukurupuka.
Naona tumewatoa mafichoni sasa...
Kwa historia ya nchi hii, Mtu akikanusha Jambo huwa ni ukweli...akikubali Jambo huwa ni Uongo...sasa nimejua kuwa CCM ndiye mfadhili mkuu wa ACT
Radio Uhuru,Gazeti la Uhuru,Mzalendo, Tazama TBC Gazeti RAIA Mwema, Mtanzania nk. Hivi vyombo vya habari vnamilikiwa na CCM na Makada wake. Hivi ndio vyombo vya habari vinavyoongoza kufagilia Act na Kuponda CDM. Kuna gazeti Maalumu limeanzinzishwa na Mpambe wa CCM kwa ajili ya kuandika propaganda za Act ili kuia Cdm. Linaitwa MKAKATI. Hao ndio CCM na Mkakati wao wa Kuisaidia Act ili CDM ife.
Atujibu basi: Ilikuwaje kadi za ACT Mwanza ziuzwe na Mwenyekiti wa CCM, wilaya ya Nyamagana? Ilikuwaje Mwenyekiti huyo awalipe bodaboda kwenda kuandamana na kusomba watu? Nilipokuta kadi za ACT zinagawiwa na CCM Mwanza, nikaacha nia yangu ya kujiunga na chama hicho.Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amesema chama chake hakikisaidii kwa fedha chama kipya cha ACT wala kiongozi wake mkuu Zitto Kabwe kama inavyoenezwa ktk mitandao mingi ya kijamii
Source: Raia Tanzania
My take:
Nani amemuuliza Nape hayo anayokanusha? Kama yanaandikwa kwenye mitandao na hayana ukweli kwa nini asiyapuuze? Anataka kitwambia kila kinachoandikwa kwenye mitandao huwa anakikanusha? Mbona wanaodaiwa kusaidiwa hawakanushi?
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amesema chama chake hakikisaidii kwa fedha chama kipya cha ACT wala kiongozi wake mkuu Zitto Kabwe kama inavyoenezwa ktk mitandao mingi ya kijamii
Source: Raia Tanzania
My take:
Nani amemuuliza Nape hayo anayokanusha? Kama yanaandikwa kwenye mitandao na hayana ukweli kwa nini asiyapuuze? Anataka kitwambia kila kinachoandikwa kwenye mitandao huwa anakikanusha? Mbona wanaodaiwa kusaidiwa hawakanushi?
Huwa mnamatatizo yaani kilasiku huwa ndiyo wimbo leo mtu kakanusha mnakuja na kebehi mlitegemea nn! tunataka mtafute sababu nyingine ya kukuza chukizenu na mtambue chuki kwa ACT Mtapoteza mudawenu bure
Hili la kutetewa na wanaccm siyo la jukwaani tu, hata vijiweni, mitaana maofisini wanaomtetea na kupongeza yote anayofanya ni wanaccm
Mnataka kuniambia na wale watu wanaoenda kwenye mikutano ya Zitto ni wana ccm?
Nani hao waliotajwa? Bahati mbaya sikulipata Mawio.
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amesema chama chake hakikisaidii kwa fedha chama kipya cha ACT wala kiongozi wake mkuu Zitto Kabwe kama inavyoenezwa ktk mitandao mingi ya kijamii
Source: Raia Tanzania
My take:
Nani amemuuliza Nape hayo anayokanusha? Kama yanaandikwa kwenye mitandao na hayana ukweli kwa nini asiyapuuze? Anataka kitwambia kila kinachoandikwa kwenye mitandao huwa anakikanusha? Mbona wanaodaiwa kusaidiwa hawakanushi?
...Ila tu mmewataka buku 7 wote mitandaoni wapige debe la nguvu kwa ACT WASALITI. Na pia kusitisha safari za Kinana ili kumpisha huyo mnayemtumia afanye kazi yenu ya kuimaliza CHADEMA ifikapo June, 2015.
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amesema chama chake hakikisaidii kwa fedha chama kipya cha ACT wala kiongozi wake mkuu Zitto Kabwe kama inavyoenezwa ktk mitandao mingi ya kijamii
Source: Raia Tanzania
My take:
Nani amemuuliza Nape hayo anayokanusha? Kama yanaandikwa kwenye mitandao na hayana ukweli kwa nini asiyapuuze? Anataka kitwambia kila kinachoandikwa kwenye mitandao huwa anakikanusha? Mbona wanaodaiwa kusaidiwa hawakanushi?
habari za kusema ccm inaifadhiri act ni sera za chama chakavu chadema( ccc)