CCM hawajui watendalo wakihonga madiwani watatu au wanne leo ikifika uchaguzi ujao maanake wameeongeza hasira kwa wananchi ina maana waongeze madiwani zaidi wa cdm kwani hasira za wananchi kwa ccm ni rushwa na kutotekeleza matakwa ya wananchi ...cdm nna ccm wote ni watz ila tabia ya chama
dawa za vvu wamechakachuwa kura wanachakachuwa.....mfano wamesema wamefukuza wakurugenzi wabadirifu kumbe uwongo wengi wao wamepangiwa kazi kubwa zaidi kwenye mikoa mipya mfano ded katolewa chato kapeleka simiyu kufa afisa mipango mkoa
POSTED BY: BASHIR NKOROMO AT FRIDAY, SEPTEMBER 28,
Una uhakika na unachokiongea.....Chagulani ndie aliekuwa anakubalika hata kwa madiwani wa cuf....baada ya kupigwa chini cuf wakaona chadema hamna kitu msimamo wao ukawa bora CCM.....!
Una uhakika na unachokiongea.....Chagulani ndie aliekuwa anakubalika hata kwa madiwani wa cuf....baada ya kupigwa chini cuf wakaona chadema hamna kitu msimamo wao ukawa bora CCM.....!
Na wewe uwe unafahamu namna ya kuchagua your damn sources of information!!
Iweje chanzo cha habari awe Bashir Nkoromo, mpiga picha rasmi wa wa Ikulu na CCM?? Kubambuzi!
ACHA CHUKI BINAFSI MASKINI WA AKILI NA MALI WEWE? MILAWAMA LAWAMA TU KILA SIKU KAMA SHO*A, WEWE UKILIALIA HIVI NA WATOTO WACHANGA WAFANYEJE? JITU ZIMA UNAANDIKA UPUKUNYUKU TU HUMU JAMVINI.
WEWE UMETHIBITISHA KUWA SERIKALI YA CCM NDIO IMELETA HIZO DAWA FEKI? HUMO WIZARANI (afya na ustawi wa jamii), MSD NA TFDA hakuna wapenzi wa CHADEMA?
Serikalini wapenzi wa chadema pia wapo na ndio watendaji wabaya, mafisadi na wezi wakubwa.
KAMA ULIKUA UJUI, UJUE SASA.
ACHA CHUKI BINAFSI MASKINI WA AKILI NA MALI WEWE? MILAWAMA LAWAMA TU KILA SIKU KAMA SHO*A, WEWE UKILIALIA HIVI NA WATOTO WACHANGA WAFANYEJE? JITU ZIMA UNAANDIKA UPUKUNYUKU TU HUMU JAMVINI.
WEWE UMETHIBITISHA KUWA SERIKALI YA CCM NDIO IMELETA HIZO DAWA FEKI? HUMO WIZARANI (afya na ustawi wa jamii), MSD NA TFDA hakuna wapenzi wa CHADEMA?
Serikalini wapenzi wa chadema pia wapo na ndio watendaji wabaya, mafisadi na wezi wakubwa.
KAMA ULIKUA UJUI, UJUE SASA.
CHADEMA waache kufanya kazi kwa kufuata popularity stings... Lazima wafanye kazi kwa AKILI
Wangeangalia ni kazi GANI Mkuu wa MKOA MPYA wa Mwanza nia yake ilikuwa ni kuwalainisha Wana
Chadema Madiwani wasio na MSIMAMO; Kama VIONGOZI wa CHADEMA MAKAO MAKUU wasipokuwa
Waangalifu CCM itawachezea kila MAHALI...
Ni vizuri ukaandika mambo yanayo make sense na yenye Logic kuliko hivi ulivyoandika.
Hayo aliyosema Nape tulitegemea ayaseme tu, bali ningependa kumshauri tu aache kufanya siasa za kumshambulia mtu binafsi na utu wake si sahihi kabisa, vilevile mambo ya mipasho hayana umuhimu wowote kwenye siasa za ushindani.
Suala la RC,DC,RPC, wakurugenzi wa halmashauri nk. kutumiwa na CCM kuua upinzani sio kipya wala la ajabu sana.
Hivyo sioni sababu ya CHADEMA kupoteza muda kumfuatilia RC wakati kila kitu kiko wazi.
Suala la kupoteza umeya mbona liko wazi kabisa, kama uwiano wa madiwani uko hivi CHADEMA-8, CCM-8, CUF-3 na matokeo yakawa CHADEMA(8) CCM(11) ,hivyo kuna ajabu gani unless kama another theory behind ambayo hutaki kuisema.
Nape VUVUZELA la ccm, mmefanya UMAFIA wa hali ya juu kwa kukiuka sheri kuhamisha wabunge wa Ilemela na diwani wa viti maalumu, halafu bila ya aibu unafunua domo lako pana kubwabwaja na kumwita Slaa Babu yako kakuzalia marehemu Babako? We Nepi subiri kipindi kipindi kifupi 2015 afya yako hiyo kama boga la Isimani itakwisha kama vile umetolewa upepo kwenye tube. Utatupwa kwenye jalala liwakalo moto wakati wote.