Nape: CCM itatawala milele

Nape: CCM itatawala milele

Nape anazidiwa na mtoto wangu wa miaka mitatu katika kufikiri.
 
Kuna member mwenzetu humu Jf alimpa ushauri wa bure huyu huyu Nepi kwamba apunguze kula asipofanya ivyo atakufa mapema...mie pia namshauri afanye ivyo coz inavyoonekana anakula hadi anavimbiwa matokeo yake amepoteza hata uwezo wakufikiri obesity ndo inaongezeka kila kukicha so soon atamfikia Komba.
 
Inaburudisha, ukiwa na stress unashauriwa kuwasikiliza wanasiasa kama hawa; kwani ni burudani tosha kabisa. Inanikumbusha mzee Gadaf -aliyeita wanadamu wenzake kuwa ni panya, naye mwenyewe kaishia kujificha kwenye mashimo kama panya na kufa kifo cha aibu.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Inaburudisha, ukiwa na stress unashauriwa kuwasikiliza wanasiasa kama hawa; kwani ni burudani tosha kabisa. Inanikumbusha mzee Gadaf -aliyeita wanadamu wenzake kuwa ni panya, naye mwenyewe kaishia kujificha kwenye mashimo kama panya na kufa kifo cha aibu.

Juaangavu I had to get a glass of wine to read these comments about Nape...:laugh:, it's sad and not funny knowing tht he is the, " MOUTH OF A LEADING PARTY" in our country, but he's entertaining :boxing:
 
Back
Top Bottom