Nape awananga CHADEMA

Nape awananga CHADEMA

Emmanuel Luoga

Senior Member
Joined
Oct 26, 2012
Posts
111
Reaction score
29
Ameamua kuongea mambo asiyo ajua eti CHADEMA inawatenga CUF na NCCR Mageuzi Katika Serikal za mitaa.

Chanzo: ITV
 
Sikh hizi ndo hajitambui kabosa naona amejipa ukatibu mwenezi chadema
 
Wanajaribu kutumia Waraka Feki waliouandaa wao wenyewe ili kuwafarakanisha UKAWA. WanaUKAWA kuweni macho na hawa wahuni. Sisi Wananchi tusio na vyama tuko nyuma yenu. Hii nchi inahitaji mabadiliko! Tumechoka kutawaliwa na MAFISADI. Kila ck skandali haziishi
 
Tanboy wa Kinana.
Masikini wa akili yule hana anachojua.
Afadhali mwenzake Kinana anaenda kula maugali na wananchi masikini kuwahadaa kwamba anapenda sana maugali na maharage ya kuchemsha na chumvi tu.....likitoka hapo linaenda kupiga nyama choma huku amewaacha wananchi hawana dawa hospitali. Ueue akiigua fasta...kimya kimya anaenda SA.
 
CCM imekwishaa..... Ni aibu chama bado kipo madarakani still wanalalamika sas wanatofauti gani na vyama vya upinzani?? Ccm imechoka na kuchakaa..... Namchukia sana huyu Nape Mungu tu anisamehe maana hat siku moja hajawahi kuongea kitu ikagusa mahisia ya jamii yeye yupo tu kwa fitina siku zote,, anaongea kama mwanamke anayebanwa tumbo la uzazi
 
Tanboy wa Kinana.
Masikini wa akili yule hana anachojua.
Afadhali mwenzake Kinana anaenda kula maugali na wananchi masikini kuwahadaa kwamba anapenda sana maugali na maharage ya kuchemsha na chumvi tu.....likitoka hapo linaenda kupiga nyama choma huku amewaacha wananchi hawana dawa hospitali. Ueue akiigua fasta...kimya kimya anaenda SA.

ni mambo ya ajabu sana , jana kasema wapinzani wasiwadangaye wananch kuacha kuchangia maendeleo yao kiwamo kuchangia ujenzi wa maabara.leo nimemwona mbunge lembeli akipinga kwann akahamasishe wapiga kura wake kuchangia maabara huku pesa zikitafunwa na wachache kweye akaunti ya escrow mbazo zingetosha kujenga maabara bila kuchangisha walipakodi na wapiga kura wake.amekataa.sasa MNAPE lazima aropoke kujenga propaganda huku wenzake waipiga pesa ndefu wanamwacha anaropoka
 
nape ni mfa maji haishi kutapatap anashindwa kumwaga sera eti kwa akili zake ndogo anafikili atawagombanisha ukawa amechemka watu wameamka hawadanganyiki tena hata atume mamuruki hatafanikiwa aendelee kuropoka tu ni kawaida yeke
 
Mbwa yule anatumika mbona kama mjanja sijamwona kwenye list ya pesa za escrow
Ccm inawenyewe akiri hana
 
Kasema kuwa CHADEMA inataka kuweka wagombea kila mahali na kila kijiji na wamekiuka mou ya UKAWA.

Chanzo: ITV.

Je, nini kinamuuma?
 
Nape ni wa kumuonea huruma tu,yupo kwenye ziara ya kujenga chama chake,badala aongee sera za chama chake,anaanza kusema waraka wa chadema,mimi naamini nape hana upeo,hata hiyo nafasi ndani ya chama sijue ameipataje jamani,alafu hajifunzi hata kwa mzee kinana anafanya kazi iliompeleka ktk ziara hiyo.
 
Achanane na mwehu Nape. Mimi huwa naona ni mtu anayepiga sana kelele lakini hakuna ambacho huwa anaongea. Mpuuzeni tena, msibishane na mwendawazimu.
 
Nape ni wa kumuonea huruma tu,yupo kwenye ziara ya kujenga chama chake,badala aongee sera za chama chake,anaanza kusema waraka wa chadema,mimi naamini nape hana upeo,hata hiyo nafasi ndani ya chama sijue ameipataje jamani,alafu hajifunzi hata kwa mzee kinana anafanya kazi iliompeleka ktk ziara hiyo.

Sasa ataongea kuhusu nini kaka wameshadanganya vimeisha lipi jipya ccm waongee.
 
Mwache abwabwaje tuu wakati serikali ya chama chake inadondoka huko Bungeni kwa wizi uliokomaa.
 
ni kweli mkuu hana la kuongea huyu mtoto wa nje.yaani du huyu mtu ameishiwa sana.
 
Back
Top Bottom