Lenatuschacha
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 156
- 36
Na wenye vyiti wa mikoa wa ccm + makatibu wamepewa kadi feki ili zichomwe
Niko tayari kumlipa mtu kama consultant ajaribu kunielekeza mambo anayozungunza Nape kwa kweli maana sijawahi kumuelewa hata siku moja huyu kijana