Nape atasafisha chama alichokuwa anakichafua?

Hapa uswe, huyu jamaa ameanza vibaya, anaongea maneno mengi bila kufikiria. Huenda hakutegemea kupata cheo hiki. Najua ana msimamo na anajua kujenga hoja, lakini tatizo la kuwa na gamba la kijani ni unafiki. Ndiyo maana mtu anaweza kusema kile ambacho haamini.
 
jamani naombeni muelewe kitu kufa kwa nyani miti uteleza Mungu kashapanga ccm iporomoke na juu ya hilo Mungu atalitekeleza kila atakaye kuwa anaingia ataonekana mbaya na afai kwa sababu nchi inatakiwa kubadilishiwa mfumo mzima na Mungu
 
Ndio maana wanashikwa mikono na kikwete kwenye CC. Kikwete kawapigania yeye na January kwasababu katika ccm hakuna mwenye akili kama hawa. Wacha wafe na hiyo familia yao.
 
CCM ni nyoka waliojivua gamba kwa kuondoa lie la zamani lililochakaa na kubaki na jipya linalongara kama vile wamezaliwa leo. Lakini ukweli kuwa bado ni nyoka yule yule tu. Kama alikuwa kifutu, swila, chatu au nyoka mwengineyo bado hajabadilika akawa mjusi. Kwa hiyo watanzania tusicheze naye hata kidogo, ataendelea kutumaliza kwa sumu yake itakayokugandisha damu na kufanya mioyo yetu ishindwe kufanya kazi
 
Njia na style wanayotumia kukijenga Chama ni Ya Enzi za Ujima!
Mie Simwamini Januari kwani Kama Babake anaitwa 'gamba' nae anajichomeka humo humo basi hana Heshima!Mzee Makamba alijitahidi kwa Kiasi chake na Si halali kumtoa madarakani kwa kumwita Gamba!Kama Januari hakuona babake kadhalilishwa mie naona kabisaa na Hakutendewa haki kwa namna alivoondolewa!Angeondolewa kISAYANSI Na Si Kiujima!Tuasimwani januari hana machungu ya kweli!kama kashindwa kumwonea huruma babake je atamuonea nani!
Pili,Nape na Wenzake naona kama wanapayuka!Kwani Tatizo la CCM kuchuja siamini kama ni Chenge,Makamba na Rostamu!Bali ni Maisha Bora Kukosekana!Wanachi sikuhizi hawana shida na jina la Mtu Kwani siku hizi hapendwi mtu!Bali wanataka dawa ziwepo hospitali,mahitaji muhimu apate kwa bei nzuri nk nk!Ukianza kutaja Taja sijui chenge,Unabugi stepu,Uonesha njia kukabilina na changamoto za Maisha magumu kila kukicha,na huko tuendapo mtazomewa manake mwakolia mambo ambayo hayawagusi wananchi na hayana Tija Msiwe wavivu wa kufikiri mkaishia kuuza sura ilhali mabadiliko hayaji!Mnakazi ngumu na msipojicheki mtakiua chama badala ya kikijenga hasa pale Mtapoanza Kuzomewa!Walioondoka wameondoka na mliobakia Muoneshe mikakati kupunguza makali na machungu ya Maisha na si kupiga bla bla na zeze!
Mgosi Makamba leo twamuona Gamba!Narudia huyu mzee si gamba ni Mstaafu na Tukiendelea kuwashambulia CCM wenzetu ndio tunazalisha makundi mapya!Haki ni laziama Itendeke na Ionekane Kutendeka
 
Kujivua gamba maana yake ni nini kwa watanzania? Let them face justice system for crimes they have committed. We want all cc members to be charged for what they did to Tanzanians haya sio maombi magumu kutekeleza.
 



hili lote linasababishwa na katiba ya CCM ambayo inamfanya mwenyekiti kuwa DIKTETA , HUOGOPWA NA AKISHA MTEUA MTU BASI HATA KAMA MTU ALIKUWA NA BUSARA AWE NA DEGREE, AWE PROFESSOR, AWE MA MASTERS, AWE, PHd , UJASIRI WOTE UNAISHA ANABAKI KUCHEZA MZKI WA KUMDURAHISHA MWENYEKITI.


ILI CHAMA KIWEZE KUSILILIZA KILIO CHA WATU NI VIZURI HIZO NAFASI ZA RAIS NA MWENYEKITI IKATENGANISHWA, VINGINEVYO TUENDELEA KUSHUHUDIA UDAHALLILISHAJI WA WASOMI HADI CHAMA KINAFUKA HAKIKA NAUYE BADILI SITAILI AU UNATAKA TUSEME KELELE ZOTE ULIKUWA UNATAKA ULAJI?



MATATIZO YA WATANZANIA KWA SASA NI HAYA
(1) serikali ya ccm imekaa mbali na matatizo ya wananchi, k.m ajira, afya, maji elimu BORA SIYO BORA ELIMU.
(2) WATU WACHACHE NDANI YA SERILAKI YA CCM WANATUMIA SERIKALI KUWAIMBIA WANANCHI WAKE NA HILO WATZ WAMELIJUA KWA HIYO DAWA NI SERIKALI KUACHA WIZI, nec NI THINK TANKERS MNA JUKUMU LA KUIBANA SERIKALI IACHE WIZI AU MUWAFUKUZE WEZI.
(3) uTAWALA WA SHERIA HAUFUATWI KWA USAWA, KUNA WATU WANAOGOPWA!
(4) HAKUNA MAJAJTI AMBAO NI INDEPENDENT, HATUNA WAANDISHI WA HABARI WENGI AMBAO NI INDEPENDET BALI WANAGANGA NJAA KWA KUNULIWA KUPENDEZESHA SERIKALI.
(4) HATUNA BUNGE IMARA, SIITA ALIJITAHIDI LAKINI CCM NEC IKATAKA KUMFUKA, SERILAKI YEYOTE ISIYO KUWA NA BUNGE IMARA INAJMALIZA KABISA, HIVYO NEC MPYA NI JUKUMU LENU SIY LA JK, KUWAAMBIA WABUNGE WENU WA CCM WATETEE HOJA ZA WANANCHI HILO LIKO KWENYE UWEZO WENU, WANACHOKIFANYA WABUNGE WA CCM HAKIKA KITAWAHUKUMU MUDA SI MREFU ,YAANA INAUDHI MPAKA NINATAMANI BOMU LIANGUKE HAPO DODOMA WAISHE WOTE HAWAFAI! Wanatia kinyaa, Nape muwashauri wabunge kuwa wanakiuua chama wabadilke waache mipasho na zomea zomea.

(5)ninakushauri nape chukua hotuba ya obama aliyohutubia ghana isome kwa makini hasa usiku ukiwa mwenyewe hotelini au nyumbani irudie rudie then ndio uanze kazi uliyopewa acha kubwabwaja, SIE NI NA WATU HUMU JAMII HAKIKA WANAIPENDA CCM NDIYO MAANA TUNAWAPENI USHAURI MURUA, LAKINI MKIENDELEA KUKATAAA HAKIKA 2015 WOTE TUTAUNGANA KUIMALIZA CCM NA HAKIKA HISTORIA ITAJIANDIKA KWA SERIKALI YA KULINDA WACHACHE ITAVYOENGULIWA MADARAKANI KWA KURA NYINGI MNO!! TENA TUTAMOBOLOZE VIJANA WOTE NA HAKIKA HAMTABAKI!!
 
:angry:SIKU moja baada ya Chadema kutangaza orodha mpya ya watu, kinachodai kuwa ni mafisadi ndani ya CCM, Katibu wa Uenezi na Itikadi wa chama hicho tawala, Nape Nnauye amesema orodha hiyo ni sawa na mchezo wa kuigiza.:brick:













:angry: NEVER CUT YOURE NOISE TO SPITE YOUR FACE:brick:
 
Nape ndo unataka kutuambia nini?mbona mi sikuelewi....kwani mafisadi mliowapa siku 90 ni wepi?Kwa nini mnacheza na akili zetu kiasi hiki?Ama kweli nyoka ni nyoka hata akivua gamba...!
 
Na hawa ndio wana nia ya kujivua magamba kweli? Au wao ndio wanafanya mchezo wa kuigiza? Ninachoona mambo ni yaleyale ya kuteteana. Ingefaa Nape aulize ushahidi wa ufisadi huo upo wapi, ikijulikana kama hakuna ushahidi wowote, ndio aseme kuwa utangazaji wa mafisadi ni mchezo wa kuigiza.
 
"Hata yaliyosemwa Tabora na Dk. Slaa, ni hila za hao hao wenye shutuma za ufisadi lakini sisi tumejipanga vizuri wasijidanganye kuwa tutarudi nyuma, tutahakikisha chama kinakuwa safi na wenye shutuma wakafanye shughuli nyingine,” alisema Nape.

Ni hatari kwa kiongozi asiyejua kupambanua mambo. Badala ya kumshukuru Dr na CDM kwa kuwataja mafisadi ambao wao wameshindwa kuwataja, ameanza kumlamu......

Hii ina maana waliotajwa na Dr. Slaa tangu miaka ya nyuma na hawa waliotajwa juzi hawako kwenye list ya Nape ya mafisadi?
Atutajie basi list yake tuione! Au kwa vile mkuu wa nchi naye yumo kwenye hiyo list?

Source: Nape: Mafisadi wanamwinda Kikwete, ippmedia
 
Makosa ya ufisadi kwa kiasi ambacho yametajwa na CDM na kuthibitishwa kihalisi, na watuhumiwa kushindwa kujibu ni dhahiri kwamba ni makosa ya jinai ya kiwango cha UHUJUMU UCHUMI kwa sheria za sasa!!!!!!! Sasa akina Nape wanapojaribu kuyageuza kuwa tuhuma za kisiasa sijui watanzania tuwaeleweje?????? Ukweli wa wazi ni kwamba CCM imenasa na hakuna dawa kinyume na madai ya Nape na wenzake!!!!!!!! Wao wenyewe na Mukama wake wameshuhudia jinsi watanzania wanavyochukia CCM!!!!!!!!!! Sijui haya anayoeleza ataanzia wapi kuyatekeleza!!! The fact is "CCM is finished-it is just a matter of time". Ile 61% wanayodai katika uchaguzi watanzania hata mtoto mdogo anajua ni takwimu za UWT na siyo kura za watanzania!!!!!! Aidha wabunge 19 batili ni sehemu ya kazi hiyo ya UWT!!!! Pale Dodoma waliweza kuwaondoa mafisadi papa watatu na kwa kufanya hivyo wakathibitishia watanzania uhalisi wa ufisadi ndani ya CCM; sasa bado 14 ambao wanajulikana kwa majina!!!!!!!!!! Wakumbuke maneno ya hekima ya Mwl Nyerere kwamba dhambi ya ukabila/udini haina tofauti na dhambi ya ufisadi!!!!!!!!!! CCM yote ni UFISADI MTUPU!!!! IN BRIEF: CCM NA SERIKALI YAKE ARE ALREADY DEAD ONLY WAITING FOR MAZISHI-NO WAY FOR REVERSING ANYTHING NOW!!!!!!!!!!!!!!!!! PEOPLES POWER IS GOING TO ASSUME POWER NOT LONG FROM NOW!!!!!!!!!! Gbagbo alijaribu yuko wapi!!!!!!!!!!!! Sasa ni zamu ya CCM na serikali yake!!!!!!!!!!
 
Hofu yangu ni kuwa, nyoka akivua magamba anakuwa kama kijana.
Dawa ya kumuua nyoka si kumkwangua magamba, bali kukiponda kichwa. Mafisadi ambao CDM inawataja ni magamba tu. CCM itakufa kama kichwa chake kitapondwa. Sio kwa kuikwangua magamba
 
D Slaa amekwisha taja wewe hujataja sasa hapo nani anaigiza,Nape ngoma huiwezi wewe
 
Nani kakuambia Dodoma alitposwa mtu au watu pale? Ingia Tovuti ya CCM upate ukwei utazame orodha ya wajumbe waoya wa Kamati Kuu mpya ya CCM.

http://www.cms.ccmtz.org/index.php?page=535

WAJUMBE WA KAMATI KUU MPYA YA CCM KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CCM.


1. Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2. Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)

3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)

4. Ndugu Wilson Mukama - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) John Zefania Chiligati - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Vuai Ali Vuai - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14. Ndugu Nape Nnauye - Mjumbe
15. Ndugu Mwigulu Mchemba - Mjumbe
16. Ndugu January Makamba - Mjumbe
17. Ndugu Asha Abdallah Juma - Mjumbe
18. Ndugu Abdulrahman Kinana - Mjumbe
19. Ndugu Anna Makinda - Mjumbe
20. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
21. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
22. Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
23.Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
26. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
27. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
28. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
29. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
30 . Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
31 . Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
32 . Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
33. Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
34 . Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
35. Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
36. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
37 . Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
38. Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…