Katibu wa Uenezi wa CCM Mheshimiwa Nape Nnauye amewaita wapinzani wao CHADEMA kuwa ni fisi waliovamia sherehe isiyowahusu. Nape alisema kuwa FISI wanataka nchi isitawalike, wanataka damu imwagike kwa kujawa na uroho wa madaraka walionao.
Nape amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Kata ya Izigo Wilayani Muleba ambapo vijana wa upinzani walikuwa wamesimama pembeni wakinung'unika.
Katika kumalizia hotuba yake jukwaani hapo, Nape amesema kuwa Ikulu hawatakwenda wapinzani abadani, na kwamba mwaka huu ushindi wa CCM utaongezeka kufikia zaidi ya asilimia 80%
Baada ya muda kidogo nitapandisha video.
Nape amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Kata ya Izigo Wilayani Muleba ambapo vijana wa upinzani walikuwa wamesimama pembeni wakinung'unika.
Katika kumalizia hotuba yake jukwaani hapo, Nape amesema kuwa Ikulu hawatakwenda wapinzani abadani, na kwamba mwaka huu ushindi wa CCM utaongezeka kufikia zaidi ya asilimia 80%
Baada ya muda kidogo nitapandisha video.