Nape asema CHADEMA ni FISI

Nape asema CHADEMA ni FISI

ray jay

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
1,084
Reaction score
485
Katibu wa Uenezi wa CCM Mheshimiwa Nape Nnauye amewaita wapinzani wao CHADEMA kuwa ni fisi waliovamia sherehe isiyowahusu. Nape alisema kuwa FISI wanataka nchi isitawalike, wanataka damu imwagike kwa kujawa na uroho wa madaraka walionao.

Nape amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Kata ya Izigo Wilayani Muleba ambapo vijana wa upinzani walikuwa wamesimama pembeni wakinung'unika.

Katika kumalizia hotuba yake jukwaani hapo, Nape amesema kuwa Ikulu hawatakwenda wapinzani abadani, na kwamba mwaka huu ushindi wa CCM utaongezeka kufikia zaidi ya asilimia 80%

Baada ya muda kidogo nitapandisha video.
 
Sasa hivi amepanda Katibu Mkuu anaongea kuhusu kusambaza umeme vijijini...
 
Katibu wa Uenezi wa CCM Mheshimiwa Nape Nnauye amewaita wapinzani wao CHADEMA kuwa ni fisi waliovamia sherehe isiyowahusu. Nape alisema kuwa FISI wanataka nchi isitawalike, wanataka damu imwagike kwa kujawa na uroho wa madaraka walionao.

Nape amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Kata ya Izigo Wilayani Muleba ambapo vijana wa upinzani walikuwa wamesimama pembeni wakinung'unika.

Katika kumalizia hotuba yake jukwaani hapo, Nape amesema kuwa Ikulu hawatakwenda wapinzani abadani, na kwamba mwaka huu ushindi wa CCM utaongezeka kufikia zaidi ya asilimia 80%

Baada ya muda kidogo nitapandisha video.
Duh! kama ukifeli mtihani unapewa maksi za bure basi hii kali!
 
Tatizo la kuvimbiwa hili .....CCM wanaamini kuwa nchi ni mali yao ......Imekula kwao mwaka huu , wananchi wanataka nchi yao .....Huyu ni miongoni mwa wale vibaka aliosema Makongoro kuwa ndio wako CCM
 
Kwi kwi kwi yeye atembee na mafisi nchini halafu leo anawakana kwi kwi kwi




Katibu wa Uenezi wa CCM Mheshimiwa Nape Nnauye amewaita wapinzani wao CHADEMA kuwa ni fisi waliovamia sherehe isiyowahusu. Nape alisema kuwa FISI wanataka nchi isitawalike, wanataka damu imwagike kwa kujawa na uroho wa madaraka walionao.

Nape amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Kata ya Izigo Wilayani Muleba ambapo vijana wa upinzani walikuwa wamesimama pembeni wakinung'unika.

Katika kumalizia hotuba yake jukwaani hapo, Nape amesema kuwa Ikulu hawatakwenda wapinzani abadani, na kwamba mwaka huu ushindi wa CCM utaongezeka kufikia zaidi ya asilimia 80%

Baada ya muda kidogo nitapandisha video.
 
Bora kukaa kimya ili kuweka akiba ya maneno.
 
Huyu naye ananikera sana kwa kusema ukweli. Kwanini asinyamaze?
 
Chadema Sio mafasi tu ni ma ng'ombe,hawa wataendelea kuwa wapinzani tu hatuwezi kuongozwa na ng'ombe
 
Katibu wa Uenezi wa CCM Mheshimiwa Nape Nnauye amewaita wapinzani wao CHADEMA kuwa ni fisi waliovamia sherehe isiyowahusu. Nape alisema kuwa FISI wanataka nchi isitawalike, wanataka damu imwagike kwa kujawa na uroho wa madaraka walionao.

Nape amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Kata ya Izigo Wilayani Muleba ambapo vijana wa upinzani walikuwa wamesimama pembeni wakinung'unika.

Katika kumalizia hotuba yake jukwaani hapo, Nape amesema kuwa Ikulu hawatakwenda wapinzani abadani, na kwamba mwaka huu ushindi wa CCM utaongezeka kufikia zaidi ya asilimia 80%

Baada ya muda kidogo nitapandisha video.

Kama Nape angekuwa na akili na uwezo angetangaza nia kama vijana wenzake akina January, Mwigulu na Kigwangalla. Ataishia kuwaimbia na kuwapigia debe tu wenzake ili apate nafasi za kuteuliwa. the Guy is not even employable na hata Ubunge umemshinda. What a shame ............... A BIG LOSER!!
 
Wakati nikimsikia Nape akipayuka kwa nguvu kufikisha hoja yake tofauti kabisa na jinsi Kinana anayoongea hata kama ujumbe unafanana NAJIULIZA; kwa chama kikongwe kama CCM mtu wa kaliba ya Mheshimiwa sana Nape anawezaje kupewa nafasi nyeti kama hiyo?

Hebu weledi zaidi mnifafanulie labda ni mimi ninayekosea, Je nape anafaya sahihi? anafiti kwenye nafasi aliyopo?
 
HABARI AFRIKA: Nape lazima aseme hivyo maana hapo ndo anapata kula mwenzenu, wanasiasa kama NAPE wanaitaji bakora maana hata positive impact hawana kabisa katika jamii ya AFRIKA.
 
Aiseeehhh, Huyu ndo Katibu Mwenezi wa chama eti, kaazi kweli kweli
 
Wakati nikimsikia Nape akipayuka kwa nguvu kufikisha hoja yake tofauti kabisa na jinsi Kinana anayoongea hata kama ujumbe unafanana NAJIULIZA; kwa chama kikongwe kama CCM mtu wa kaliba ya Mheshimiwa sana Nape anawezaje kupewa nafasi nyeti kama hiyo?

Hebu weledi zaidi mnifafanulie labda ni mimi ninayekosea, Je nape anafaya sahihi? anafiti kwenye nafasi aliyopo?

My friend,nape aliwekwa strattegically kwa kuwa walijua baada ya 2015 anatimka.yaliyomkuta mangula yanamngoja yeye.zaidi ni kuwa ccm haina mwenyekiti.kidali poo hata siku moja hakiwezi kuwa na akili timamu.unamshangaa nepi,!!!makonda je!!??kwa mtu timamu huwezi hata kumpa makonda asafishe choo cha watoto wako.
 
Ha ha ha ha ha nimecheka sana. Kumbe ni matokeo ya mbio za mwenge? Ndio maana jamaa ni zezeta kweli kweli.
 
Back
Top Bottom