GE2025 Nape: Anaehoji utu wa Rais Samia anajitoa ufahamu

GE2025 Nape: Anaehoji utu wa Rais Samia anajitoa ufahamu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea Ubunge katika Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema wanaohoji utu wa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan anatakiwa kupingwa kwani amefanya mengi makubwa ikiwemo kumimina ajira kwa Watanzania katika kipindi kifupi cha uongozi wake.

Nape amesema 'utu' wa Dkt. Samia ni kielelezo tosha kinachoashiria ushindi kwa mgombea huyo kwani ameeleza kuwa Watanzania wengi wanamuelewa kutokana na maendeleo waliyoyapata katika kipindi cha uongozi wake.

Nape amesema hayo katika mkutano wa kampeni wa Dkt. Samia unaofanyika wilayani Mtama mkoani humo ambaye ananadi sera za CCM kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

 
Mgombea Ubunge katika Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema wanaohoji utu wa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan anatakiwa kupingwa kwani amefanya mengi makubwa ikiwemo kumimina ajira kwa Watanzania katika kipindi kifupi cha uongozi wake.

Nape amesema 'utu' wa Dkt. Samia ni kielelezo tosha kinachoashiria ushindi kwa mgombea huyo kwani ameeleza kuwa Watanzania wengi wanamuelewa kutokana na maendeleo waliyoyapata katika kipindi cha uongozi wake.

Nape amesema hayo katika mkutano wa kampeni wa Dkt. Samia unaofanyika wilayani Mtama mkoani humo ambaye ananadi sera za CCM kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

View attachment 3478413
Huyu unafiki ndio unaomlisha. Hana ujanja wowote wa kuendesha maisha nje ya hapo!
 
Lazima aseme hivyo ili huo mtumbo wake uendelee kujaa mavii!.
 
Back
Top Bottom