ni kutengeneza vitisho ili watakao teuliwa waendelee kukichangia chama kwa rasilimali za umma,,,kuonyesha jeuri ya chama kwa viongozi,,wengi walishaanza kuwapuuza,kutowapa mafuta ,kuwakirimu,kuwachangia,,,,huon,hapo kuna wengine watamuomba awapigie debe,,,,ccm bwana,,,,,:rockon: