Alama za CCM ni Jembe na Nyundo, Nyundo inatumika kuwapondea Watanzania wote, na Jembe kuchimbia Kaburi la kuwazikia waliopigika na kupoteza maisha. Hapo jamaa anamsanifu huyo mlemavu ebu angalia magari yalioko kwenye Backgroun na vitambaa vyao yaani bendera si vingewezza kubadili maisha ya huyu Kaka yetu? Lakini yarabi uwepo wa vikao vya CCM Dodoma umebadilika kuwa vya matumaini ya kukaa karibu na waridi ili angalau kwa siku hizo watakazokaa hapo naye anukie nukie waridi.
DU JAMAA KAPOTEZA KABISA MATUMAINI YA MAISHA BORA ALIYOAHIDIWA, LAKINI AKINAA KARIBU NA WAENEZAJI WA ZILE PROPOGANDA ZA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIa KWA ARI, NGUVU NA KASI MPYA HUENDA ANGALAU AKAYAONA.