Nape airushia kombora CUF, Asema kususa kwao hakuzuii uchaguzi Z'bar

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
DSC00936.jpg
 
Ccm mbona mnaunya unya cuf umetowa tamko moja tu HATURUDII uchaguzi sasa ccm kila Siku wanatupa makombora Mara balozi Mahinga anawambia wafadhili waishawishi cuf warudie uchaguzi Nape unajeshi fanyeni uchaguzi tu musitufanyie kelele
 
Sioni sababu ya ccm kuwabeza cuf wao wafanye uchaguzi wao kwa amani wamtangaze wanayemtaka waongoze nchi hila Matokeo yake watayaona muda si mrefu ni heri busara na hekima alizotupa muuba wetu zingetumika kuliko hayo maneno ya nape ambaye anachekea bara wakati visiwa vinazima
 
Nape bwana! Huyu c mwenezi ? Hata kwenye mpira hata timu ingefungweje wao ni kushangilia kwasababu wanalipwa hata mpira wenyewe hawaangalia ; kazi yao moja tu ni kupiga ngoma na kucheza; hii ndio Kazi ya huyu mheshimiwa; Haina shida ya timu inafungwa goli ngapi yeye kucheza na kuimba mpaka dk 90 ziishe ndo atauliza ilikuwaje pale mpaka tumefungwa goli nyingi hivi maanake mimi nilikuwa busy kuimba na kucheza; Nape angalia na mpira japo dk chache; tawala zinabadilika wenzio juzi wamekabidhiwa mifagio pale Palestina (Yona & Mramba )
 
Hi likitokea la kutokea ishu ya zanzibar ikawa ndivyo sivyo nape ana nafasi gani pale the heague uswis....
 
Kwanini wanaibeza cuf tu, mbona vyama vingine pia vimegoma? Au ndio yale kikusumbuacho ndicho utakacho kizungumzia? Waendelee tu kwani cuf wamewaomba nao wagome?
 
sasa wameenda kwa mabalozi kufanya nini?hawa jamaa zetu wamechanganyikiwa mara hawataki serekali ya umoja wa kitaifa sasa tuchukue lipi?
 
Nape ana kengeza la fikra cuf,ya nn tena wamesema hawarudii uchaguz ,,,nyie fanyeni uchaguz wenu...
 
CCM mepewa nchi bure chukueni hamtaki.
Nyienyie CCM ndiyo mnaohubiri huku kila siku kwamba suala la Zanzibar litamalizwa na Wazanzibar weyewe sasa huyu Nape anatokea wapi huku bara kuwasemea wanzazibar?

CCM mmechoka akili mwili na roho kwa mnayoyafaya Zanzibar yaani ni kituko cha dunia
 
Back
Top Bottom