Nape ailipua CHADEMA



hivi umaskini unaondolewaje??
 

Amekiri kuwa kwa miaka hamsini hawajafanya ki2
 
Na siku Waislamu wakiamua kuandamana kudai mahakama ya kadhi wakipigwa na polisi usije kulalamika, kwani wakati mwingine wewe uko kama popo

Kama kuna mtu anaweza kumsikiliza Nape na kuona anachoongea ni point basi taifa hili bado linasafari ndefu! Kama unajua kuangalia mambo utagundua kua kinana hapendezewi na hotuba za Nape hata kidogo ndiyo maana yeye ameongea tofauti kabisa kwenye huo mkutano maana anajua watu si wajinga wanaelewa kinachoendelea tofauti na Nape anayedhani kuwa anahutubia ng'ombe wasiojitambua! Mtanzania gani asiyejua kinachoendelea bungeni sasa! Ujinga ni mzigo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…