Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 5,009
- 9,206
Hiyo pua mbona siioni?
Nape sasa kaamua kuja kivingine anamchukua viti maalum mpaka Guest house wanakaa wee huko anamfundisha kukariri kuwa Bunge live ni sumu kwa ccm hivyo wakiingia ndani wakatae live kwa nguvu zote, mfano yule viti maalum wa jana katoka Guest kakimbilia bungeni kuropoka pasipo kutafakari kwanza, Yaani Akili za kuambiwa hakuchanganya na zake kabsa,
Nakutahadharisha tu upinzani unakua kwa kasi tunakaribia kulingana bungeniWewe uone usione bajeti zitasomwa na kama zinastahili kupitishwa zitapitishwa. Siku zote mnaishi na akili za kudhulumiwa na kuonewa, mnajipatia unyonge wa bure kabisa.
Kwa akili zenu hizi za kutafuta matukio halafu mkayashikia bango, mwaka 2020 itakula kwenu vibaya sana. Mnadanganyika na siasa za facebook na twitter ambazo hazifanani na reality ya huko mikoani.Nakutahadharisha tu upinzani unakua kwa kasi tunakaribia kulingana bungeni
Duuuuuuh!Hii kali mkuu.Nape sasa kaamua kuja kivingine anamchukua viti maalum mpaka Guest house wanakaa wee huko anamfundisha kukariri kuwa Bunge live ni sumu kwa ccm hivyo wakiingia ndani wakatae live kwa nguvu zote, mfano yule viti maalum wa jana katoka Guest kakimbilia bungeni kuropoka pasipo kutafakari kwanza, Yaani Akili za kuambiwa hakuchanganya na zake kabsa,