marveljt
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,503
- 1,479
Kipindi akiwa CCM sisi CHADEMA tulisema ni fisadi mkuu chini ya katibu yetu ila mtuhumiwa alitoa kauli moja mwenye ushahidi aende mahakamani. Sisi CHADEMA hatukwenda inamaana ilikuwa ni propaganda. Baada ya hapo akahamia CHADEMA CCM wakasema afadhali kwani fisadi kahamia nyumba nyingine na yeye akarejea nendeni mahakamani.
Baada ya uchaguzi kuisha mkuu wa nchi si zaidi ya mara moja amesema nchi hii iko hapa kutokana na mafisadi pamoja na wajizi. Hivyo atafungua mahakama ya mafisadi. Nilitegemea kuwa yule ambaye CCM pamoja na CHADEMA walimnyooshea kidole angepelekwa huko la hasha hakuna lililotokea.
Sasa je huyo fisadi hawezi kuwa ni mmoja kati ya wale ....... Na je hakuna uhusiano uliopo na wale tulioambiwa makaburi yakifukuliwa mengine hayawezekani kufukiwa? Kama ndiye CHADEMA amefata nini?
Baada ya uchaguzi kuisha mkuu wa nchi si zaidi ya mara moja amesema nchi hii iko hapa kutokana na mafisadi pamoja na wajizi. Hivyo atafungua mahakama ya mafisadi. Nilitegemea kuwa yule ambaye CCM pamoja na CHADEMA walimnyooshea kidole angepelekwa huko la hasha hakuna lililotokea.
Sasa je huyo fisadi hawezi kuwa ni mmoja kati ya wale ....... Na je hakuna uhusiano uliopo na wale tulioambiwa makaburi yakifukuliwa mengine hayawezekani kufukiwa? Kama ndiye CHADEMA amefata nini?