Mnayoiona hapo ni Xiaomi Mi Box S Android Tv ambayo inaipa televisheni yako uwezo mzuri wa kuwa Smart TV au hata kama smart, inakupa futures ambazo usingeweza kuzipata kwenye Smart TV.
So nilikuwa nauliza wapi naweza pata hii device au atanisaidia kuweza kupata kwa hapa Tanzania?
Kama walivyo sema wengine hapo juu, Agiza mi box aliexpress tu ujifunze ulimwengu wa online, tena nakumbuka yangu ilifika baada ya wiki. Muhindi anaziuza 255k, wachina pamoja na usafiri hadi Tanzania haivuki 165k (hii ni store yenye reviews nzuri kuliko zote) . Chaguo ni lako.
Nashukuru wote mlionisaidia nimipata hii box ya xiaomi ni nzuri na nimeipta kwa bei rahis compare na wanayoisema hapo kikubwa ni uwezo wako wa kubergain