Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Ushauri
Miaka ya nyuma nilikua naona vitabu vikiuzwa vikielekeza tiba za kiasili !! Ckua na kazi navyo kwan nilikua chaliii!!
Lakin tangu ulimwengu wa smartphone bas cvion wala kuvisikia
Je vipo bado ? Wap au kuna vya online
Msaada plz
Miaka ya nyuma nilikua naona vitabu vikiuzwa vikielekeza tiba za kiasili !! Ckua na kazi navyo kwan nilikua chaliii!!
Lakin tangu ulimwengu wa smartphone bas cvion wala kuvisikia
Je vipo bado ? Wap au kuna vya online
Msaada plz