Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Habarini za asubuhi.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikipungua uzito na kukonda ila sio sana kwani mimi binafsi sioni kama nimepungua sana . Nguo nilizokuwa navaa mwaja juzi na mwaka jana bado ninazivaa ingawa zinapwaya kidogo sio kiasi cha kushindwa kuvalika, sasa nikukutana na watu mtaani wananisema nimepungua sana ama nimekonda. huwa wananiuliza kama nilikuwa naumwa lakini kiukweli sijawahi kuugua mpaka kulazwa tangu nimejitambua (Thanks God) kitu ambacho ndiyo sababu ya mtu kukonda.
Pia sijawahi kuugua ugonjwa ambao ningelazimika kulala ndani siku nzima. Kama ni malaria na magonjwa ya kawaida kama kuumwa tumbo, kichwa huwa naumwa ila sijawahi kuugua nikalala ndani tangu huu mwaka uanze.
Swali je kwanini ninapungua? Kama kula kiukweli ninakula chakula cha kawaida huwa supitishi mlo.
Nifanyeje ili niongezeke japo kidogo...
NB. umri wangu ni 28. Uzito kwa sasa ni 62kg ila huwa nafikisha hata 68kg. Urefu ni 5.6ft.
Asanteni
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikipungua uzito na kukonda ila sio sana kwani mimi binafsi sioni kama nimepungua sana . Nguo nilizokuwa navaa mwaja juzi na mwaka jana bado ninazivaa ingawa zinapwaya kidogo sio kiasi cha kushindwa kuvalika, sasa nikukutana na watu mtaani wananisema nimepungua sana ama nimekonda. huwa wananiuliza kama nilikuwa naumwa lakini kiukweli sijawahi kuugua mpaka kulazwa tangu nimejitambua (Thanks God) kitu ambacho ndiyo sababu ya mtu kukonda.
Pia sijawahi kuugua ugonjwa ambao ningelazimika kulala ndani siku nzima. Kama ni malaria na magonjwa ya kawaida kama kuumwa tumbo, kichwa huwa naumwa ila sijawahi kuugua nikalala ndani tangu huu mwaka uanze.
Swali je kwanini ninapungua? Kama kula kiukweli ninakula chakula cha kawaida huwa supitishi mlo.
Nifanyeje ili niongezeke japo kidogo...
NB. umri wangu ni 28. Uzito kwa sasa ni 62kg ila huwa nafikisha hata 68kg. Urefu ni 5.6ft.
Asanteni