Unaishi wapi?
Ushaoa?
Nani alikuelekeza njia ya kuja Jf?
Miela yako unawekaga Bank au hom?
Ulishawahi kufungwa jela?
Kama bado kwa nini ?
Kama tayari kwa kosa gani ?
Ulishawahi kufumaniwa?
Uko chama gani?
Ulisha ...........
Ngoja niende chooni kwanza nikitoka libeneke linaendelea