Kwani nod anaanza ?Mwànzo mgumu, ataweza
Ndoto ya asubuhiHarmonize ni fagio la chuma ipo siku Diamond atasainishwa mkataba kwenye label ya Harmonize
Nadhani....baada ya kutoka wcbKwani nod anaanza ?
Iko Hivi, Harmo wimbo wowote atakao toa sahivi watu watakua wana compare na enzi akiwa WCB.
Hapo ndio Tatizo.
Ameenda kuanza?Nadhani....baada ya kutoka wcb
Kwani huelewi? Angekua hajaenda kuanza hao clouds wangemuita? Si wanamuona mpya?Ameenda kuanza?
wanadamu mambo yenu mengi sana
Cha utamuuuuIla tangu alivyokua wcb mwishoni mwishoni alikua anaimba utumbo..si vibaya akauendeleza kwa jembe
You niggas better remember losers never love a winner, Bitches never love a loser, beggars never can be choosers.UNO kalii sanaaa...!! Sema mnataka mpaka awepo WCB ndo muone wimbo ni mkali pambaneni na hali zenu...
Huyu dogo kabebwa sana,yani kuna waimbaji watupu ni huyu na yule mtoto wa mama Jux sijui siwaelewagi kabisa
AiseeeCha utamuuuu