Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwani wewe umehama lini kutoka kwa shemeji yako?
In God we Trust
Wewe unalala sebuleni kwa shemeji!
In God we Trust
Wewe unalala sebuleni kwa shemeji!
Akacheke picha ya baba yake!
Naona upo tayari kwenda kucheza ngoma ya mtunje kwenye mkesha wa kuiaga coronaWewe unalala sebuleni kwa shemeji!
Nasikia ukimaliza salama mkesha unapewa usimamizi wa wachawi ndani ya lumumbaVipi umemaliza shoo!
Bundle limekata!
Ungejua nini kinaendelea juu ya fadhila ya vice-chairman wala usingesema juu ya lissu!
Ungejua nini kinaendelea juu ya fadhila ya vice-chairman wala usingesema juu ya lissu!
Naona hii tabia ya kutetea wanaokosea na zikichukuliwa hatua stahili.,
Wapo mapuruzai kibao wanajitokeza kutetea utopolo wa huyo mkosaji.
Tumeshuhudia hapa mafisadi, watakatisha pesa, wauza madawa, yule mwandishi wote hawa walipata watetezi kwa makusudi kwa makusudi kutaka kuonyesha kama wanamkomoa mtu kumbe wanazidi kuchochea moto
Hivi sasa kuna mmoja kafanya kosa la kucheka picha ya Rais bado kuna watu badala ya kujaribu kutoa rai kumshauri kijana asirudie makosa, kuna watu wanataka kufanya kama hakufanya kosa
Kama hakudhamiria kwanini hakuchukua picha ya mzazi wake wa kike au kiume akaanza kucheka. lakini kwa kuchukua picha na kuanza kuidhihaki hapo ametumbukiza mguu wenye kiatu kwenye sufuria la ubwabwa lazima awatambue wenye shughuli ili kesho asirudie tena afunzwe sana!
Mtoto hakanywi akienda hukanywa akisharudi wakati yameshamkuta ya kumkuta!
Bakora haichagui pa kutua kwa mtoto mtukutu!
mtuhumiwa namba ni dereva aliyetetewa na muhanga na ufipa wote!
Waitara muda si mrefu atayaweka wazi itafaamika tu!
Kalaghabhao!Kuandika post kama hii nila kuweka kifungu chochote cha sheria unadhihirisha level ya umbumbumbu wako.
Tundu lissu!Vice chairman yupi?
Kalaghabhao!
Mwenyekiti wao ni hivyo tayari ushapewa taarifa hongera!Nasikia ukimaliza salama mkesha unapewa usimamizi wa wachawi ndani ya lumumba
In God we Trust
Naona hii tabia ya kutetea wanaokosea na zikichukuliwa hatua stahili.,
Wapo mapuruzai kibao wanajitokeza kutetea utopolo wa huyo mkosaji.
Tumeshuhudia hapa mafisadi, watakatisha pesa, wauza madawa, yule mwandishi wote hawa walipata watetezi kwa makusudi kwa makusudi kutaka kuonyesha kama wanamkomoa mtu kumbe wanazidi kuchochea moto
Hivi sasa kuna mmoja kafanya kosa la kucheka picha ya Rais bado kuna watu badala ya kujaribu kutoa rai kumshauri kijana asirudie makosa, kuna watu wanataka kufanya kama hakufanya kosa
Kama hakudhamiria kwanini hakuchukua picha ya mzazi wake wa kike au kiume akaanza kucheka. lakini kwa kuchukua picha na kuanza kuidhihaki hapo ametumbukiza mguu wenye kiatu kwenye sufuria la ubwabwa lazima awatambue wenye shughuli ili kesho asirudie tena afunzwe sana!
Mtoto hakanywi akienda hukanywa akisharudi wakati yameshamkuta ya kumkuta!
Bakora haichagui pa kutua kwa mtoto mtukutu!
Waitara muda si mrefu atayaweka wazi itafaamika tu!
Zamani nilikuwa najua mtu mwenye kipara ana hekima