kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,090
- 15,937
- Thread starter
- #81
Kila mchuma majanga.......Ni ukosefu wa nidhamu na adabu. Sanaa itumike kufundisha, sio kudhalilisha na kukejeli watu hasa rais wa nchi. Na hiyo yote ni mihemko ya kisiasa zisizokuwa na dira. Hana tofauti na kauli alizokuwa anatoa mdude.View attachment 1458051
Sent using Jamii Forums mobile app