Kimekuwa chama cha kutetea wala rushwaMkuu twende pamoja hapo pa kuonewa. Rugemalila na Seth wako ndani mpaka leo, je watu walioshirikiana nao toka ccm/ serikalini mbona hawapo ndani kama sio uonevu?
Mtuhumiwa anatajwa na Lissu mara zote, dereva ni shahidi namba 2, shahidi namba moja ni Lisu mwenyewe. Huenda umeanzisha usiyojua makali yake.
Upo sahihi sana hii nchi imekuwa ya maamuzi ya ajabu, angalia hata kesi za wahujumu uchumi waliokuwa rumande yaaan mtu anatokea tu anasema wanaonewa mara sijui nn hakuna jema Wala baya kwake.
Watathibitisha mahakamani ngoja liundweyawezekana wapo waliokula lakini kimaandishi hawaonekani. Km wao waliwagawia pesa Sasa mahakama itathibitishaje hapo
Na wewe fanya ndo utapata jibu mubashara
Waitara kaanza kufunguka,lijuakali anaanza kufunguka wskielekea kwenye drama ya ben saanane hapo utamjua kama Mbowe muovu japo hana dola!Watenda uovu na wapalilia uovu manafahamika, ila mnatambia nguvu ya madaraka.
Watu wanajua ni Mbowe!Utajiwe mara mbili?
Chukua ya mzee wako cheka mpaka!Mkuu
Naona umelipwa Posho Ya eid elfitr Eeeh
Hivi kucheka picha ya ile suti Ya baba yako ile ya juu pima chini kadiria ni kosa????
Kucheka picha.. Narudi kucheka picha
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Juzi Msigwa kakanusha uzishi wake kuhusu kinana hata shonza pia aliwahi kanusha kuwa ridhiwani hakuwahi kamatwa china hata hio ys kununua watu umekaririshwa jamaa wapo kazini!Mkuu
Kuna Kiongozi alivamia clouds na bunduki na CCTV footage zilionyesha tukio
Kuna Kiongozi manyara alikuwa akiwa nunua watu wajiunge na ccm na ushahidi wa video clip ulikuwepo
Hawa wote wamechukuliwa hatua gani?????
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Atetewe na nani wakati mwenyewe uwezo wa kujitetea anao!Ametuhumiwa mtu kukwapua 1.5 t mkajitokeza kumtetea , au wizi siyo uhalifu huko ccm,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri tuone kacheka picha ya Magufuli au ya raisi!Kavunja sheria ipi?
Kacheka picha ya rais unaweza thibitisha ile ni picha ya Rais( mali ya jamhuri) au ni picha ya Magufuli
Mna uhakika wakati anacheka mbele ikiwepo hiyo picha alimaanisha kuidharau?
Mtu kucheka picha ni kosa?
Vipi mtu akiicheka noti ya fedha ya Tz ambayo ni mali ya jamhuri atakuwa amevunja sheria ya usalama wa Taifa 1970?
Mbona hashtakiwi?
Wafa maji tu!
Muda wake nae utafika kuanzia leo!Kwani kangilugola kafungwa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Eti mchekeshaji, sijui nani anamdanganya huyo kiazi eti anachekesha, sijawai kufurahishwa na comedi yake hata 1,wamweke huko huko mpk akome kiazi sana.Tusubiri tuone kacheka picha ya Magufuli au ya raisi!
Kabisa mwendo wa kiarabu fimbo mjeledi dawa ya homa shuburi wataelewa tu!Eti mchekeshaji, sijui nani anamdanganya huyo kiazi eti anachekesha, sijawai kufurahishwa na comedi yake hata 1,wamweke huko huko mpk akome kiazi sana.
Sitowataja mjina... si wabunge wa chama tawala wala wa upinzan.Kiongozi gani kaboronga halafu katetewa!
Pia aliyeamuru walinzi wasiwepo kwenye lindo akamatwe na yule aliyeng'oa CCTV camera aeleze malengo Yake ilikuwa ni nini?acheni ujanja ujanjaAnatakiwa aje dereva ajieleze hatutaki ujanja ujanja!
Waitara muda si mrefu atayaweka wazi itafaamika tu!Pia aliyeamuru walinzi wasiwepo kwenye lindo akamatwe na yule aliyeng'oa CCTV camera aeleze malengo Yake ilikuwa ni nini?acheni ujanja ujanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Maoni mazuri sana!Sitowataja mjina... si wabunge wa chama tawala wala wa upinzan.
Including speaker mwenyewe ..bunge limekuwa la hovyo kabisa. Wanafanya mabunge ya huko nyuma yaonekane mazuri.
Pili baadhi mawaziri.. wamekuwa wakiongea trash muda mwingine ..cha kushangaza kwa sababu ni wa chama fulani lazima atetewe sana. Hatakama ameongea kitu cha kijinga.
Ni mwe mwendo wa kutetea viongoz hata wakifanya ujinga.