paschal Martin
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 401
- 385
Vita vya siku 6 vya 1967 je israel walivyopigana na mataifa mengi ya kiarabu akayapiga kwa siku 6 je alipigana na kundi dogo mbona unaongea utopolo sana soma historia ya israel toka mwaka 1948 mpaka sasa ndio uje ucommetNi kuwakumbusha tu Israel anapambana na kikundi kidogo sana cha watu wasiojiweza kabisa , si jambo la kushangiria shangilieni pale tu atapojichanganya kwa taifa kama Syria , Lebanon alafu hakuna nchi kuingilia wala umoja wa mataifa kuingilia kati uone kitachotokea dunia itasimama kwa muda , mara kibao tumeona chokochoko za Hizbullah kwa Israel lakini husikii akijibu mashambulizi kwani anajua mziki wake lakini huyu bingwa anawaonea watu wahajiwezi hata alafu naona watu mkiwatukuza sana sasa siku ajichanganye aingie huko tuone mziki wake, Iran wala hasiwafikirie maana ndio taifa teule litakuwa mwisho wake hapa Duniani. Acheni kuitukuza sana Israel haiko ivyo mnataka iwe naamini hata akisimama tu Tanzania full scale war hakuna kuingilia anakalishwa mapema tu Israel is nothing without US na washirika wake
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app