Balimi ndogo inakuhusu kamandaHivi karibuni Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL), ilitangaza kwa mbwembwe wiki iliyopita kuwa Bia aina ya Castle Light ingeuzwa kwa Tshs.2,000 badala ya 2,500. Hata hivyo nimegundua kuwa Bar nyingi bado zinauza kinywaji husika kwa 2,500. Ukiwauliza wenye Bar unaambiwa distributors bado wana stock ya zamani. TBL hawakujua kiwango cha Bia hizo kilichopo sokoni?. Mbaya zaidi tangazo husika lilisema bei mpya (elekezi) ingeanza kesho yake. Huu ni uhuni sasa. Ngoja nihamie kwenye Serengeti ndogo sasa.
Hivi karibuni Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL), ilitangaza kwa mbwembwe wiki iliyopita kuwa Bia aina ya Castle Light ingeuzwa kwa Tshs.2,000 badala ya 2,500. Hata hivyo nimegundua kuwa Bar nyingi bado zinauza kinywaji husika kwa 2,500. Ukiwauliza wenye Bar unaambiwa distributors bado wana stock ya zamani. TBL hawakujua kiwango cha Bia hizo kilichopo sokoni?. Mbaya zaidi tangazo husika lilisema bei mpya (elekezi) ingeanza kesho yake. Huu ni uhuni sasa. Ngoja nihamie kwenye Serengeti ndogo sasa.
Mkuu hayo ni matatizo yako binafsi. Nikipombeka Castle lite the performance doublesZINAPUNGUZA UFANIS WA SEX KWA MWANAUME

Mi zile serengeti light zilinishinda..nikinywa moja tu ya pili kichwa kinagonga balaa utadhani nagongwa makonzi na jiniMambo ni serengeti
Ndovu nazo 1500 sasathats busines mkuu, kama vile inapokuwa introduced 500 ya coin it takes time ya note kufutika kwenye circle. Muda huu niko misungwi castle lite buku 2. Sema ni 375 mls so zile za 440 & 330 mls zitapotea. Ndovu ndio bado za buku 2 zinapatikana kwa shida.
Nimesha Acha kunywa Castle lite. Vyuma vimebanaNdovu nazo 1500 sasa
Wamepunguza from 3,000 to 2,500Heinneken wao vp, hawapunguzi bei?