Huyo anakupoteza.iwe tamisemi.tra.tanesco n.k wote ni serikali na wapo payroll moja.Sema ufate taratibu uhamishe datasheet vingnevyo hutoingia payroll mara ya pili.Kama unabisha nenda lkn kuna siku utarudi hapa kuniambia lbda ubadili majina kitu ngumu sana.
Mimi ni shahidi nimetoka tamisemi kutaka kuja duce.ilikuwa mbinde hadi leo hakijaeleweka karibia mwaka.Tatizo nshafutwa payroll lkn system inanitambua tu.Na kitu nilichokuja kujua na sishauro mtu ufanye ni kuondolewa payroll ya serikali aisee kurudi utasota.