Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Niikua naomba kujua DUCE ni shirika la umma au ni chuo cha serikali au sababu ,scale zipo tofauti
Duce ni university college yachuo kikuu cha dar es salaam na kimfumo vyuo vya serikali km UDSM,UDOM n.k ni mashirika ya umma.
Ndo maana hata magari yao yamesajiriwa km SU....