Electronian
Member
- Sep 1, 2013
- 16
- 0
Mimi nikijana nilie maliza elimu ya kidato cha nne (2012), Na kupata ufaulu wa Div. 4 ya 30 katika michipuo ya sayansi. Alama nilizopata nikama ifuatavyo hapo chini.
Physics - D
Chemistry - D
Biology - D
Kiswahili - D
E/D/islamic - D
Geography - F
English - F
Basic - math - F
Civics - F
History - F
Lakin ata hivyo nmefanikiwa kusomea kozi za computer (comp. course) upande wa ofisi.
Lakin hivi sasa maisha ya mezid kuwa magumu kiupande wangu kwakuwa sina ajira yoyote ya kujishuhulisha.
Sasa naombeni ushauli nfanyenini ili namie niweze kujiendeleza kitaaluma. au kama hizo alama nilizopata je naweza nikajiunga na chuo gan.
Naombe ushauri ndugu zangu.
Physics - D
Chemistry - D
Biology - D
Kiswahili - D
E/D/islamic - D
Geography - F
English - F
Basic - math - F
Civics - F
History - F
Lakin ata hivyo nmefanikiwa kusomea kozi za computer (comp. course) upande wa ofisi.
Lakin hivi sasa maisha ya mezid kuwa magumu kiupande wangu kwakuwa sina ajira yoyote ya kujishuhulisha.
Sasa naombeni ushauli nfanyenini ili namie niweze kujiendeleza kitaaluma. au kama hizo alama nilizopata je naweza nikajiunga na chuo gan.
Naombe ushauri ndugu zangu.