kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 25
Nina mdogo wangu ambaye yupo chini yangu yeye ana umri wa miaka 22, huyu mdogo wangu alikuja kupewa mwanamke mwezi wa 12 alipata mimba uko wakamletea mke nyumbani, Yaani tayari ana mke.
Kuoa kwa mdogo wangu imekuwa kama adhabu kwangu kila anaye fika nyumbani nikuniweka kikaoni na kuishauri nichukue mke kitu ambacho katika akili yangu bado sijafikiria kabisa kuchukua mke
Kama kuna mtu yeyote ambaye aliwahi kupitia situation hii naomba anipe mbinu aliwezaje kuhimili hali hii
Maana kwa jinsi siku zinavyo zidi kwenda naona kabisa nitakimbia kijijini kwetu kukimbia aibu
Nina mdogo wangu ambaye yupo chini yangu yeye ana umri wa miaka 22, huyu mdogo wangu alikuja kupewa mwanamke mwezi wa 12 alipata mimba uko wakamletea mke nyumbani, Yaani tayari ana mke.
Kuoa kwa mdogo wangu imekuwa kama adhabu kwangu kila anaye fika nyumbani nikuniweka kikaoni na kuishauri nichukue mke kitu ambacho katika akili yangu bado sijafikiria kabisa kuchukua mke
Kama kuna mtu yeyote ambaye aliwahi kupitia situation hii naomba anipe mbinu aliwezaje kuhimili hali hii
Maana kwa jinsi siku zinavyo zidi kwenda naona kabisa nitakimbia kijijini kwetu kukimbia aibu

