sasa si ushukuru kachukua elfu 5 tu..what if angekomba zote?
nahisi jamaa kakosa hata nauli,na baadhi yetu sisi wanaume tunaona noma kuomba wanawake pesa.
Wanaume wenzake watatetea huu upuuzi lakn mumeo ni mwizi kama sio mdokozi, badilisha namba ya siri na Kuwa makini na utunzaji pesa za cash, Kama ni Mume mwema asingefuta meseji, Kama angeomba kusingekuwa na tatzo