Unahitaji kujiendeleza vipi ndugu msomi?
Maana anaweza kuja mtu mwingine akajua unahitaji kuendelea kusoma na mwingine akajua labda ni career development..
Hebu tatua huu utata fasta kabla hao ma pro hawajaja.
Kanjanja nalala mbele.
Sent using
Jamii Forums mobile app