Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,790
- 6,995
Juzi nilikuwa natoka sehemu kwenye mishe zangu ,ghafla nikamkuta shemu wangu stand anaposubiriaga usafiri akitoka chuo nikampa lifti kuelekea home nikachepuka sehem kupata 1,2.
Ila sehemu yenyewe kuna watoto wakalitu.
Mimi nikawa nawatazama kiujanjaujanja ili shem asinishtukie kumbe alishasoma mchezowangu pale.
Ghafla nikaona mtu hachangamki na amekosaraha nikamuuliza inakuwaje,akajibu poatu, aah nikajua labda namchelewesha kurudi home.
Nikamuuliza tena unaongeza kinywaji akajibu kingereza no, nikamwambia bas twenzetu home wife,nilimtania hivyo kidodo.
Akabeba pochilake tukaanza safari njiani naona kama kajiinamia namuuliza vip shem unaumwa? akajibu hapana.
Bas tukaenda mbakahome badae naona msj ananilaumu eti anajiskia vibaya mbaka sasa anasema kitendo nilichofanya hajakipenda,eti nilikuwa nikiwaangalia wana wake wengine wakati yeye yupo hadi akawaanaona aibu daah.
Roho ikafanya paaaaa..nikasema duuh.
Sijamjibu naiangalia tuu hii msj nawaza nimjibu nini, in other way around naona kama ananitia majaribu.
Naombeni ushauri mana naweza nika mfyatua huyu simuelewi kabisa.
Ila sehemu yenyewe kuna watoto wakalitu.
Mimi nikawa nawatazama kiujanjaujanja ili shem asinishtukie kumbe alishasoma mchezowangu pale.
Ghafla nikaona mtu hachangamki na amekosaraha nikamuuliza inakuwaje,akajibu poatu, aah nikajua labda namchelewesha kurudi home.
Nikamuuliza tena unaongeza kinywaji akajibu kingereza no, nikamwambia bas twenzetu home wife,nilimtania hivyo kidodo.
Akabeba pochilake tukaanza safari njiani naona kama kajiinamia namuuliza vip shem unaumwa? akajibu hapana.
Bas tukaenda mbakahome badae naona msj ananilaumu eti anajiskia vibaya mbaka sasa anasema kitendo nilichofanya hajakipenda,eti nilikuwa nikiwaangalia wana wake wengine wakati yeye yupo hadi akawaanaona aibu daah.
Roho ikafanya paaaaa..nikasema duuh.
Sijamjibu naiangalia tuu hii msj nawaza nimjibu nini, in other way around naona kama ananitia majaribu.
Naombeni ushauri mana naweza nika mfyatua huyu simuelewi kabisa.