Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

Mkuu tatizo hapo inaweza kuwa ups downs, mimi ndio anaweza kuniona mshamba niendelee kumsoma msoma kwanza mana tangu simuile haniangalii usoni mana sinanibu sms yake mbaka leo.

Tunakaa nyumba 1 ananikwepa kwepatu, na kwa action zake namuona kabisa she need my attention.
humu nitakuwa si comment kwa maana sasa unauliza kitu majibu unayo mf. Hama hapo hamia kwingine .
Akikukwepa haijalishi maana sio shida yako tatu nne mwambie ukweli kwani ukilala naye ndio utakuwa umemuongezea nini ?
 
acha upuuzi dogo....mheshimu shemeji yako....kuwa kauzu tuu....
 
humu nitakuwa si comment kwa maana sasa unauliza kitu majibu unayo mf. Hama hapo hamia kwingine .
Akikukwepa haijalishi maana sio shida yako tatu nne mwambie ukweli kwani ukilala naye ndio utakuwa umemuongezea nini ?
Siwezi muhama mkuu, she lived in ma house!.
 
humu nitakuwa si comment kwa maana sasa unauliza kitu majibu unayo mf. Hama hapo hamia kwingine .
Akikukwepa haijalishi maana sio shida yako tatu nne mwambie ukweli kwani ukilala naye ndio utakuwa umemuongezea nini ?
Siwezi muhama mkuu, she lived in ma house!.
 
Basi umeitunga hii stori unaishi na mtu halafu mnaandikiana mesage kwa simu?
Mboka kawaida sana, alafu labda hujaelewa,hakuna sehemu niliposema nime andikiananae msj mkuu soma vizuri.
 
Back
Top Bottom