Nimepatwa na vipere(sundosundo) katika sehemu za siri kwenye ringi ya uume.Ni miaka 4 sasa nimetumia baadhi ya dawa za kuchua sioni mafanikio ya vipere hivyo kutoweka.Nifanye je?
miaka 4 ni mingi sana, labda tuanze hapa vinawasha ama kuuma?? je vinatoa majimaji?
je uume umebadilika rangi na kuwa mwekundu ama wa kama green blue??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.