Naombeni ushauri wanajamvi

We bwa mdogo humu utachanganyikiwa tu watoa ushauri si umewaona? Fanya yako
 

eh!we nae jifunze jaman jipige kifua peleka mahali mwambie mama hii si mahari bt ni sehemu ya shukrani 2 kwa kunizalia na kunitunzia binti mzuri kama huyu...mwisho wa siku ugeukwe tena ''kwanza mke mwenye 2mekupa 2 ulileta hata sh nkumi hapa'' we haya 2 binadamu hawana wema!!kua na misimamo yako usipende kupewa pewa 2 kumbuka hata ile ulipewa matokeo kuomba ushauri,utarudi tena hapa we haya 2.
 
una homonny za kike watch out! unakoelekea atanunua toi akukule 0713
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…