Mimi sina kazi ila nilibahatika kufanya kazi hapo miaka ya nyuma nikajenga nyumba ya vyumba vitatu,
Maisha yamekuwa magum sana nimewaza kuigeuza nyumba yangu niifanye guest house ili niwe napata at least 15,000/= kwa kila chumba then mi nikapange. Je nitakuwa sahihi.?
Natanguliza shukran.