Katani
Member
- Jan 23, 2012
- 30
- 2
Nina mpenzi wangu ninae mpenda sana, alisafiri kwenda Moro alipofika turiwasiliana vizuri tu.kesho yake jioni kuanzi saa 2 mpaka saa 7 usiku simu aikupatikana nilipo mtafuta asubui simu iliita na akapoke mwanaume na kuniuliza mi ni nani... Nilichoka cjui huyu bint nianzie wapi kumuhoji..