Naombeni ushauri wa haraka

Naombeni ushauri wa haraka

Fuata moyo wako hakuna mkamilifu hapa duniani...mke ni wako sio wa ndugu zako.

Anyway...ili imsahau lazima umtie moyoni na uiambie akili yako kuwa huyo mke humpendi tena
 
Kwanza mkuu rudi kwa mungu wako, kwani kuishi na mwanamke bila ya kumuowa ni kuzini nae tu, ni kinyume cha maamrisho ya mungu.

Pili omba msamaha kwa mungu, sali sana muombe akusamehe na akulinde na akuongoze katika njia ilio sahihi.

Muombe mungu akuondolee na balaa, na akupe kilicho kheri na wewe, tena uwoe mkuu.

In sha Allah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom