Naombeni ushauri wa biashara

Naombeni ushauri wa biashara

iyo biashara ya mnadani ina changamoto na ni ngumu sio rahisi kama mnavyoongea na kuandika hapa (kama unabisha fanya reserch kwanza kwenye iyi minada)

Moja ya changamoto ni kutumia muda mwingi na gharama nyingi ndogo ndogo, minada mingi sana wanaenda watu local ambao wananunua vitu bei chieo saana, 80% ya wauzaji wa minadani huwa wanauza vitu bei cheap saana na wanunuzi wamezoea hivyo, mfano nguo zao za kike nyingi ni kati ya 500 - 1500 unaweza kuwa na nguo nzuri saana za shilingi 2000 - 3000 watu wakakupita tu, pia wamezoea kuchagua saana wanaamini kwenye bidhaa nyingi , mfano ukijaza meza viatu watajaa kuchagua saana hata kama vibaya lakini ukiwa na peak zako 30 wanaweza (wateja washachagua saana) kukuoita wakiamini ushauza saana vimebaki vya mwisho mwisho, wengi sana minadani huwa wanauza bidhaa za chini saana (malonya)

bythe way huu ni ushahuri wangu na sio sheria.

mimi nakushahuri chukua pochi za kike mixer mtumba na za dukani uza na kukopesha ndani ya mwezi mmoja utakuja kunishukuru au tengeneza kibanda cha kutengeneza kucha na kupaka rangi za gel kama una fridge kubwa kidogo tafuta kijana tengeneza ice cream mpe auze mpangie auze zaid ya 200 per day ambayo ni sawa na 20,000 kwa siku, 140,000 kwa wiki na 560,000 kwa mwezi, mshahara wa huyo kijana ni ni 50,000 kwa mezi fanya na material ni 100,000 (makadirio ya juu). ukiweza kupata vijana wa 3 (piga hesabu uone kwa mezi) baadae utakuja kunitafuta nikuoe ili tuunganishe biashara tuwe matajiri, ha ha ha haa (Jocking)

nimeandika kidogo biashara zipo nyingi saana na za faida mnooo
 
iyo biashara ya mnadani ina changamoto na ni ngumu sio rahisi kama mnavyoongea na kuandika hapa (kama unabisha fanya reserch kwanza kwenye iyi minada)

Moja ya changamoto ni kutumia muda mwingi na gharama nyingi ndogo ndogo, minada mingi sana wanaenda watu local ambao wananunua vitu bei chieo saana, 80% ya wauzaji wa minadani huwa wanauza vitu bei cheap saana na wanunuzi wamezoea hivyo, mfano nguo zao za kike nyingi ni kati ya 500 - 1500 unaweza kuwa na nguo nzuri saana za shilingi 2000 - 3000 watu wakakupita tu, pia wamezoea kuchagua saana wanaamini kwenye bidhaa nyingi , mfano ukijaza meza viatu watajaa kuchagua saana hata kama vibaya lakini ukiwa na peak zako 30 wanaweza (wateja washachagua saana) kukuoita wakiamini ushauza saana vimebaki vya mwisho mwisho, wengi sana minadani huwa wanauza bidhaa za chini saana (malonya)

bythe way huu ni ushahuri wangu na sio sheria.

mimi nakushahuri chukua pochi za kike mixer mtumba na za dukani uza na kukopesha ndani ya mwezi mmoja utakuja kunishukuru au tengeneza kibanda cha kutengeneza kucha na kupaka rangi za gel kama una fridge kubwa kidogo tafuta kijana tengeneza ice cream mpe auze mpangie auze zaid ya 200 per day ambayo ni sawa na 20,000 kwa siku, 140,000 kwa wiki na 560,000 kwa mwezi, mshahara wa huyo kijana ni ni 50,000 kwa mezi fanya na material ni 100,000 (makadirio ya juu). ukiweza kupata vijana wa 3 (piga hesabu uone kwa mezi) baadae utakuja kunitafuta nikuoe ili tuunganishe biashara tuwe matajiri, ha ha ha haa (Jocking)

nimeandika kidogo biashara zipo nyingi saana na za faida mnooo
Umefunguka sana
 
iyo biashara ya mnadani ina changamoto na ni ngumu sio rahisi kama mnavyoongea na kuandika hapa (kama unabisha fanya reserch kwanza kwenye iyi minada)

Moja ya changamoto ni kutumia muda mwingi na gharama nyingi ndogo ndogo, minada mingi sana wanaenda watu local ambao wananunua vitu bei chieo saana, 80% ya wauzaji wa minadani huwa wanauza vitu bei cheap saana na wanunuzi wamezoea hivyo, mfano nguo zao za kike nyingi ni kati ya 500 - 1500 unaweza kuwa na nguo nzuri saana za shilingi 2000 - 3000 watu wakakupita tu, pia wamezoea kuchagua saana wanaamini kwenye bidhaa nyingi , mfano ukijaza meza viatu watajaa kuchagua saana hata kama vibaya lakini ukiwa na peak zako 30 wanaweza (wateja washachagua saana) kukuoita wakiamini ushauza saana vimebaki vya mwisho mwisho, wengi sana minadani huwa wanauza bidhaa za chini saana (malonya)

bythe way huu ni ushahuri wangu na sio sheria.

mimi nakushahuri chukua pochi za kike mixer mtumba na za dukani uza na kukopesha ndani ya mwezi mmoja utakuja kunishukuru au tengeneza kibanda cha kutengeneza kucha na kupaka rangi za gel kama una fridge kubwa kidogo tafuta kijana tengeneza ice cream mpe auze mpangie auze zaid ya 200 per day ambayo ni sawa na 20,000 kwa siku, 140,000 kwa wiki na 560,000 kwa mwezi, mshahara wa huyo kijana ni ni 50,000 kwa mezi fanya na material ni 100,000 (makadirio ya juu). ukiweza kupata vijana wa 3 (piga hesabu uone kwa mezi) baadae utakuja kunitafuta nikuoe ili tuunganishe biashara tuwe matajiri, ha ha ha haa (Jocking)

nimeandika kidogo biashara zipo nyingi saana na za faida mnooo
Fact naifanya hii biashara, izo sandals utauza kidogo sana but minadani wanapenda yeboyebo na ndala ambazo bei zake ni ndogo na zinafaida ndogo sana...pia lazima mzigo wako ujae ndipo wanapenda kuchagua but make sure bei ya product zako isizidi 5000....
 
Fact naifanya hii biashara, izo sandals utauza kidogo sana but minadani wanapenda yeboyebo na ndala ambazo bei zake ni ndogo na zinafaida ndogo sana...pia lazima mzigo wako ujae ndipo wanapenda kuchagua but make sure bei ya product zako isizidi 5000....

SURE 100%
 
Fact naifanya hii biashara, izo sandals utauza kidogo sana but minadani wanapenda yeboyebo na ndala ambazo bei zake ni ndogo na zinafaida ndogo sana...pia lazima mzigo wako ujae ndipo wanapenda kuchagua but make sure bei ya product zako isizidi 5000....
We unanifanyia mnadani au?
 
Biashara ya kuuza fresh juice hii
tafuta sehemu wanayouza chips/mgahawa ukaomba kuuza fresh juice biashara itakapokuwa vizuri unaweza kutampa asilimia kadhaa mwenye mgahawa ili asingie tamaa ya kukufanyia fitina ili auze yeye

Viatu vya kikee vya raba au vinginevyo pamoja na mikoba then ukauza kwa njia ya mtandao hapa inakulazimu ujue kuchaguwa bidhaa itakayo mvutia mteja.viatu na mikoba inaweza kuwa mtumba ili uze kwa bei rafiki
 
iyo biashara ya mnadani ina changamoto na ni ngumu sio rahisi kama mnavyoongea na kuandika hapa (kama unabisha fanya reserch kwanza kwenye iyi minada)

Moja ya changamoto ni kutumia muda mwingi na gharama nyingi ndogo ndogo, minada mingi sana wanaenda watu local ambao wananunua vitu bei chieo saana, 80% ya wauzaji wa minadani huwa wanauza vitu bei cheap saana na wanunuzi wamezoea hivyo, mfano nguo zao za kike nyingi ni kati ya 500 - 1500 unaweza kuwa na nguo nzuri saana za shilingi 2000 - 3000 watu wakakupita tu, pia wamezoea kuchagua saana wanaamini kwenye bidhaa nyingi , mfano ukijaza meza viatu watajaa kuchagua saana hata kama vibaya lakini ukiwa na peak zako 30 wanaweza (wateja washachagua saana) kukuoita wakiamini ushauza saana vimebaki vya mwisho mwisho, wengi sana minadani huwa wanauza bidhaa za chini saana (malonya)

bythe way huu ni ushahuri wangu na sio sheria.

mimi nakushahuri chukua pochi za kike mixer mtumba na za dukani uza na kukopesha ndani ya mwezi mmoja utakuja kunishukuru au tengeneza kibanda cha kutengeneza kucha na kupaka rangi za gel kama una fridge kubwa kidogo tafuta kijana tengeneza ice cream mpe auze mpangie auze zaid ya 200 per day ambayo ni sawa na 20,000 kwa siku, 140,000 kwa wiki na 560,000 kwa mwezi, mshahara wa huyo kijana ni ni 50,000 kwa mezi fanya na material ni 100,000 (makadirio ya juu). ukiweza kupata vijana wa 3 (piga hesabu uone kwa mezi) baadae utakuja kunitafuta nikuoe ili tuunganishe biashara tuwe matajiri, ha ha ha haa (Jocking)

nimeandika kidogo biashara zipo nyingi saana na za faida mnooo
Nashukuru
 
Biashara ya kuuza fresh juice hii
tafuta sehemu wanayouza chips/mgahawa ukaomba kuuza fresh juice biashara itakapokuwa vizuri unaweza kutampa asilimia kadhaa mwenye mgahawa ili asingie tamaa ya kukufanyia fitina ili auze yeye

Viatu vya kikee vya raba au vinginevyo pamoja na mikoba then ukauza kwa njia ya mtandao hapa inakulazimu ujue kuchaguwa bidhaa itakayo mvutia mteja.viatu na mikoba inaweza kuwa mtumba ili uze kwa bei rafiki
Asantee
 
What degree did you aquired at the university,pls, as a graduate i think you deserve to do better than most of the advice you are being given here, aslo try and be creative and innovative,last but not least money is the last thing to think abaut if you want to soar high,its not money that run this world, its IDEAS, hence the reason you went to school and hongera for graduating,
 
What degree did you aquired at the university,pls, as a graduate i think you deserve to do better than most of the advice you are being given here, aslo try and be creative and innovative,last but not least money is the last thing to think abaut if you want to soar high,its not money that run this world, its IDEAS, hence the reason you went to school and hongera for graduating,
Asante mesoma arts and design but now natafuta tu pa kuanzia
 
hujaongelea gharama za chakula za kijana,luku n.k pia kina masika
kuhusu minada ni kweli si kazi rahisi hatà nina ndugu yangu alishindwa gharama ni nyingi sana pia usafiri wa kulipia gari linalobeba mizigo mnada hadi mnada ni kazi sana
iyo biashara ya mnadani ina changamoto na ni ngumu sio rahisi kama mnavyoongea na kuandika hapa (kama unabisha fanya reserch kwanza kwenye iyi minada)

Moja ya changamoto ni kutumia muda mwingi na gharama nyingi ndogo ndogo, minada mingi sana wanaenda watu local ambao wananunua vitu bei chieo saana, 80% ya wauzaji wa minadani huwa wanauza vitu bei cheap saana na wanunuzi wamezoea hivyo, mfano nguo zao za kike nyingi ni kati ya 500 - 1500 unaweza kuwa na nguo nzuri saana za shilingi 2000 - 3000 watu wakakupita tu, pia wamezoea kuchagua saana wanaamini kwenye bidhaa nyingi , mfano ukijaza meza viatu watajaa kuchagua saana hata kama vibaya lakini ukiwa na peak zako 30 wanaweza (wateja washachagua saana) kukuoita wakiamini ushauza saana vimebaki vya mwisho mwisho, wengi sana minadani huwa wanauza bidhaa za chini saana (malonya)

bythe way huu ni ushahuri wangu na sio sheria.

mimi nakushahuri chukua pochi za kike mixer mtumba na za dukani uza na kukopesha ndani ya mwezi mmoja utakuja kunishukuru au tengeneza kibanda cha kutengeneza kucha na kupaka rangi za gel kama una fridge kubwa kidogo tafuta kijana tengeneza ice cream mpe auze mpangie auze zaid ya 200 per day ambayo ni sawa na 20,000 kwa siku, 140,000 kwa wiki na 560,000 kwa mwezi, mshahara wa huyo kijana ni ni 50,000 kwa mezi fanya na material ni 100,000 (makadirio ya juu). ukiweza kupata vijana wa 3 (piga hesabu uone kwa mezi) baadae utakuja kunitafuta nikuoe ili tuunganishe biashara tuwe matajiri, ha ha ha haa (Jocking)

nimeandika kidogo biashara zipo nyingi saana na za faida mnooo
 
nni kuuza bidhaa za madukani kwa bei ya jumla kuwafikishia watu wenye maduka vijijini ambao kimsingi ufikaji wao mjini ni changamoto, unatumia fulsa kuwapelekea bidhaa kwa kuwauzia jumla hapa point ni chimbo la kupata bidhaa kwa bei nafuu, pili ni uhakika wa usafiri tatu ni kutambua ni bidhaa zipi nzuri zenye faida na rahisi kubebeka ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujaongelea gharama za chakula za kijana,luku n.k pia kina masika
kuhusu minada ni kweli si kazi rahisi hatà nina ndugu yangu alishindwa gharama ni nyingi sana pia usafiri wa kulipia gari linalobeba mizigo mnada hadi mnada ni kazi sana
Biashara ni nyingi saana mkuu, muhimu ni kuzijua na kufatilia watu wengi saana wanapiga hela biashara za kawaida Tu,
 
nni kuuza bidhaa za madukani kwa bei ya jumla kuwafikishia watu wenye maduka vijijini ambao kimsingi ufikaji wao mjini ni changamoto, unatumia fulsa kuwapelekea bidhaa kwa kuwauzia jumla hapa point ni chimbo la kupata bidhaa kwa bei nafuu, pili ni uhakika wa usafiri tatu ni kutambua ni bidhaa zipi nzuri zenye faida na rahisi kubebeka ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Biashara Umewahi kuifanya?? Ukiongelea vujijini unaongelea wapi? na mzigo unachukua wapi? Maana vujijini huwa wanachukua mizigo katika center za mikoa Yao ambapo hao watu wa center wanachukua Kwa mawakalanwakuu wa mkoa husika na mawakala wanachukua Kwa wazalishaji moja Kwa moja, ndo maana mfaho sabuni mafuta utaona gari za product husika zinapeleka mikoani
 
Back
Top Bottom