Esmodaizer
Member
- Jul 12, 2020
- 21
- 20
Ushauri mzuri huu mno kama jamaa ameamua kuwa mpambanaji wa kweliNenda kariakoo chukua viatu vya wadada vya bei ya jumla 3200-3500. Chukua pea 50. Nenda Mkuranga mnadani, kibaha, Mlandizi, Chalinze n.k. Uza 5000-6000 kwa kila kiatu.
Uliza ratiba ya minada kila kijiji. Utapiga hela hadi ujione Freemason.
Kwakweli ngoja njaribuu kufatilia... mimi ni kijana wa kike lknUshauri mzuri huu mno kama jamaa ameamua kuwa mpambanaji wa kweli
Pambania ushauri huo sio jinsi yakoKwakweli ngoja njaribuu kufatilia... mimi ni kijana wa kike lkn
Kwakweli ngoja njaribuu kufatilia... mimi ni kijana wa kike lkn
ShukraniUshauri tu usitumie laki 3 yote anza na laki 1 biashara ikikubali ongeza mtaji ikikataa tafuta njia nyengine kwa akiba iliobakia.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Poa poaPambania ushauri huo sio jinsi yako
Dhaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Pambania ushauri huo sio jinsi yako
Hii ilikubali nadhan imnamlipa vizur Sana binafs ningekua dar ningejarbu hiiNenda kariakoo chukua viatu vya wadada vya bei ya jumla 3200-3500. Chukua pea 50. Nenda Mkuranga mnadani, kibaha, Mlandizi, Chalinze n.k. Uza 5000-6000 kwa kila kiatu.
Uliza ratiba ya minada kila kijiji. Utapiga hela hadi ujione Freemason.
Tena mwanamke ndio utauza vikookoro vyote vyq urembo. Cheni za mia tano kariakoo wewe unaenda kuwauzia elfu 2. Mtaji mdogo tu faida nusu kwa nusu. Tembele minadani uone wanawake wa kichaga wanavyopambana. Kikubwa ni kukuza mtaji ili ufanye biashara ya ndoto yako.Kwakweli ngoja njaribuu kufatilia... mimi ni kijana wa kike lkn
Nashukuru aiseeTena mwanamke ndio utauza vikookoro vyote vyq urembo. Cheni za mia tano kariakoo wewe unaenda kuwauzia elfu 2. Mtaji mdogo tu faida nusu kwa nusu. Tembele minadani uone wanawake wa kichaga wanavyopambana. Kikubwa ni kukuza mtaji ili ufanye biashara ya ndoto yako.
Nmekipenda hii ngoja niifanyie kaz,asante sana mchangia mada.Nenda kariakoo chukua viatu vya wadada vya bei ya jumla 3200-3500. Chukua pea 50. Nenda Mkuranga mnadani, kibaha, Mlandizi, Chalinze n.k. Uza 5000-6000 kwa kila kiatu.
Uliza ratiba ya minada kila kijiji. Utapiga hela hadi ujione Freemason.
Biashara ya urwmbo inalipa na inafanyika kwa haraka.Tena mwanamke ndio utauza vikookoro vyote vyq urembo. Cheni za mia tano kariakoo wewe unaenda kuwauzia elfu 2. Mtaji mdogo tu faida nusu kwa nusu. Tembele minadani uone wanawake wa kichaga wanavyopambana. Kikubwa ni kukuza mtaji ili ufanye biashara ya ndoto yako.
Wew umepiga ngapNenda kariakoo chukua viatu vya wadada vya bei ya jumla 3200-3500. Chukua pea 50. Nenda Mkuranga mnadani, kibaha, Mlandizi, Chalinze n.k. Uza 5000-6000 kwa kila kiatu.
Uliza ratiba ya minada kila kijiji. Utapiga hela hadi ujione Freemason.
Kama ni pisi kali ni pm nikuongezee mtaj japo lak mbili iwe lak 5Mimi ni kijana wa kike nimehitimu chuo mwaka huu nahitaji kufanya biashara ndogo ndogo yoyote nina mtaji wa shilingi laki tatu naombeni ushauri.
Nipo dar.