Naombeni ushauri au tiba.
Mimi nasumbuliwa na tatizo la uvimbe chini ya tako la kushoto katikati ya korodani na njia ya haja kubwa!
Tatizo lilianza kutokana na kupata choo ngumu, hivyo kila ninapopata choo inayohitaji kusukuma kuna kijiuvimbe hushuka pembeni ya njia ya haja kubwa na kina maumivu fulani, na ikishatokea hiyo hali maumivu yanaweza kudumu hata baada ya siku nne ukikaa unasikia tu.
Na uvimbe ukipapasa unausikia. Jambo linalonistua ni kuwa limekuwa likitokea mara kwa mara.
Ombi: Ushauri, ama uzoefu kwa aliwahi kukutwa na tatizo hili au dawa za kienyeji au hospitalini.
Angalizo: Watu wengine wananiambia sio wa hospitalini, japo sijawaamini. Nipo njia panda!
Mimi nasumbuliwa na tatizo la uvimbe chini ya tako la kushoto katikati ya korodani na njia ya haja kubwa!
Tatizo lilianza kutokana na kupata choo ngumu, hivyo kila ninapopata choo inayohitaji kusukuma kuna kijiuvimbe hushuka pembeni ya njia ya haja kubwa na kina maumivu fulani, na ikishatokea hiyo hali maumivu yanaweza kudumu hata baada ya siku nne ukikaa unasikia tu.
Na uvimbe ukipapasa unausikia. Jambo linalonistua ni kuwa limekuwa likitokea mara kwa mara.
Ombi: Ushauri, ama uzoefu kwa aliwahi kukutwa na tatizo hili au dawa za kienyeji au hospitalini.
Angalizo: Watu wengine wananiambia sio wa hospitalini, japo sijawaamini. Nipo njia panda!