Naombeni ushauri uvimbe huu unanitesa

Usije kuwa unachanganya nilichokiandika post #15,nilichosema usirubuniwe na watu wanaouza madawa ya kienyeji kutumia dawa zao bila kujua tatizo lako limefikia stage gani nenda kwenye matibabu ya kisasa utapona,obviously ugonjwa wowote ukiuzembea utakuuwa so usiseme nimekutisha wahi hospital.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ni kwel
 
Jibu hili,
Tatizo hilo sio kubwa. Nenda kituo chochote cha afya utapewa maelekezo dawa gani utumie kulingana na ukubwa wa tatizo, kama hawana watakuandikai utatafuta kwenye famasi Yoyote.

Ukichelewa uvimbe utakuwa mkubwa. Ukipasuka itabidi upasuaji.

Pia punguza kula nyama mkuu mmeng,enyo wake unachukua muda tumboni, kula mboga mboga ,matunda,punguza Wanga.

Usisahau na jwisi ya ukwaju inasaidia sana kumengenya chakula kwa haraka zaidi ,pia kunywa maji mengi uwezavyo.

Kufanya hivyo kutapunguza muda wa kukaa chooni. Kumbuka unavyotumia muda mwingi na pressure kubwa ndio tatizo linazidi kuwa kubwa.

Hospital wanatoa dawa unaweza pona kabisa, lakini usipofata utaratibu huo hapo juu tatizo linaweza kujirudia tena.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri hauko serious. Tangu mwezi wa pili unalalamika unaumwa. Umeshauriwa kuwa linatibika. Na kwamba ukifanya masihara ni tatizo litaleta madhara makubwa zaidi. Tulitarajia mwezi wa nne huu tunaenda utupe mrejesho wa hospitali pengine. Wewe umekazana kuwa ni mtihani unapita. Kwanini unataka sana huruma ya mitandaoni badala ya kupambania afya yako? Self pity or public sympathy will not heal you. It's one thing to be sick and we are all sorry for you. But it is another thing to keep wailing here and not seek experr medical intervention!! Grow up.
Kama kuna mtihani naupitia ni huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri hauko serious. Tangu mwezi wa pili unalalamika unaumwa. Umeshauriwa kuwa linatibika. Na kwamba ukifanya masihara ni tatizo litaleta madhara makubwa zaidi. Tulitarajia mwezi wa nne huu tunaenda utupe mrejesho wa hospitali pengine. Wewe umekazana kuwa ni mtihani unapita. Kwanini unataka sana huruma ya mitandaoni badala ya kupambania afya yako? Self pity or public sympathy will not heal you. It's one thing to be sick and we are all sorry for you. But it is another thing to keep wailing here and not seek experr medical intervention!! Grow up.

Sent using Jamii Forums mobile app
I went to the hospital last month dear ,though you seem to be very pomposous at some moments.Anyway let me give up my deserved dignity and respect in favours of my immediate recovery,I met a doctor ,I narrated my problem finally I was given anti hermorroid jelly to apply internally and outside to the affected part. With all these including starched meals avoidance ,I declare minimal improvement.
Lastly ,your concern is highly appreciated.
Thank you.
 
Nafikiri hauko serious. Tangu mwezi wa pili unalalamika unaumwa. Umeshauriwa kuwa linatibika. Na kwamba ukifanya masihara ni tatizo litaleta madhara makubwa zaidi. Tulitarajia mwezi wa nne huu tunaenda utupe mrejesho wa hospitali pengine. Wewe umekazana kuwa ni mtihani unapita. Kwanini unataka sana huruma ya mitandaoni badala ya kupambania afya yako? Self pity or public sympathy will not heal you. It's one thing to be sick and we are all sorry for you. But it is another thing to keep wailing here and not seek experr medical intervention!! Grow up.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungevuta kwanza pumzi kidogo kabla ya kumuattack mtoa post, mbona hiyo comment unayoiongelea ni ya February?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom