Tatizo hilo sio kubwa. Nenda kituo chochote cha afya utapewa maelekezo dawa gani utumie kulingana na ukubwa wa tatizo, kama hawana watakuandikai utatafuta kwenye famasi Yoyote.
Ukichelewa uvimbe utakuwa mkubwa. Ukipasuka itabidi upasuaji.
Pia punguza kula nyama mkuu mmeng,enyo wake unachukua muda tumboni, kula mboga mboga ,matunda,punguza Wanga.
Usisahau na jwisi ya ukwaju inasaidia sana kumengenya chakula kwa haraka zaidi ,pia kunywa maji mengi uwezavyo.
Kufanya hivyo kutapunguza muda wa kukaa chooni. Kumbuka unavyotumia muda mwingi na pressure kubwa ndio tatizo linazidi kuwa kubwa.
Hospital wanatoa dawa unaweza pona kabisa, lakini usipofata utaratibu huo hapo juu tatizo linaweza kujirudia tena.
Sent using
Jamii Forums mobile app